Connect with us

Sports

Matumaini Ya United Kupata Mbeumo Yanazidi Kudidimia

Published

on

Matumaini ya kilabu ya manchester united kupata huduma za kiungo mshambulizi wa kilabu ya Brenford Bryan Mbeumo yanaonekana kufifia kila kuchao.

Haya yanajiri baada ya mazungumzo hayo kukwama kwa sasa baada ya kilabu hiyo ya London kuongeza ada ya malipo ya mchezaji huyo hadi pauni milioni 70.

Kilabu ya Manchester United haiko tayari kulipa zaidi ya pauni milioni 65 kwa mvamizi huyo raia wa Cameroon.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alifunga magoli 20 ligi ya epl msimu jana.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Makocha Saba pekee Wameshinda Taji La CHAN

Published

on

By

CHAN COUNT DOWN 16 Days to Go

Huku muda ukizidi kuyoyoma kwa kipute Cha CHAN nchini ebu tumulike wakufunzi na Mataifa ambayo yameshinda Kombe hili Tangu kuasisiwa mwaka 2009
Wa Kwanza ni Coach Santos Muntubile na Taifa la DR Congo marufu The Leopards mwaka 2009
Wa Pili ni Kocha Sami Trabelsi na The Carthage ya Tunisia mwaka 2011
Wa Tatu ni Kocha Jalal Damja na Taifa la Libya mwaka 2014
WA nne ni Kocha Florent Ibengé na Taifa la DR Congo mwaka 2016
Wa Tano ni Kocha Jamal Sellami na The Atlas Lions ya Morocco mwaka wa 2018
Wa sita ni Kocha Houcine Ammouta na Morocco mwaka 2021(kombe ambalo lilikua liandaliwe 2020)
Kocha wa Saba ni Pape Thiaw na Senegal mwaka 2022
Continue Reading

Sports

Barcelona Yamkabidhi Jezi Namba 10 Kwa Lamine Yamal

Published

on

By

Kilabu ya FC Barcelona imemkabidhi winga matata Lamine Yamal jezi namba 10 kilabuni humo.

Jezi hilo ambalo limevaliwa na baadhi ya wakongwe kilabuni humo ikiwemo Lionel Messi na Ronaldinho imekua na kiungo Ansu Fati ambaye kwa sasa ameondoka kilabuni humo na kujiunga na Monaco ya Ufaransa.

Huku hayo yakijiri kilabu hiyo imekumbwa na wasiwasi kuhusiana na tabia ya winga huyo katika msimu huu mapumziko baada ya kanda kumuonyesha akijivinjari na mpenzi mwenye umri mkubwa na pia ukaribu wake na Neymar wakionekana maeneo tofauti wakijivinjari mpaka saa za usiku.

Mchezaji Huyo mwenye umri wa miaka 19 alijiunga na Timu hiyo kutoka kwenye Akademia ya Kilabu hiyo LA MASIA na amekua nguzo muhimu chini ya kocha Hansi Flick akiongeza kilabu hiyo kushinda taji la Laliga na Copa De La Rey.

Continue Reading

Trending