Timu ya taifa ya soka ya Kenya, Harambee Stars, imejiondoa rasmi katika michuano ya CECAFA inayojumuisha mataifa manne: Tanzania, Kenya, Uganda na Senegal, ambayo yalipangwa kufanyika...
Catherine Kenga amechaguliwa kuwa spika wa bunge la kaunti ya Kilifi katika kikao maalum ambacho kiliandaliwa katika bunge hilo Jumatu Julai 21 2025. Katika kikao hicho...
Mwakilishi wadi wa Sokoke kaunti ya Kilifi Thaura Mweni ametaja zoezi la kumchagua spika mpya wa bunge la kaunti ya Kilifi linalofanyika hii leo kama litakaloendeshwa...
Bunge la kaunti ya Kilifi linatarajiwa kumchagua spika mpya Julai 21,2025. Hii ni baada ya Teddy Mwambire kubanduliwa uongozi na wawakilishi wadi Juni 30 2025 kupitia...
Mwanaharakati Boniface Mwangi anatarajiwa kufikishwa mahakamani Jumatatu 21 Julai, 2025 kujibu mashtaka ya kufanikisha ugaidi. Maafisa wa upelelezi wa jinai walisema kuwa Mwangi alipatikana na risasi...
Rais William Ruto amewashauri wazazi kote nchini kuhakikisha wanawalekuza vijana wao katika mazingira ya maadili na uwajibikaji na wala sio kuwasukuma katika maisha ya kuhangaika. Rais...
Maafisa wa polisi kaunti ya Kilifi wamewaokoa watu wanne katika kijiji cha kwa Binzaro kilomita 6 kutoka Shakahola. Kamishna wa kaunti ya Kilifi Josephat Biwot alisema...
Mwanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu nchini Boniface Mwangi amekamatwa na maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI. Kulingana na Mkewe Boniface, Hellen Njeri...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imewahakikishia wakenya kwamba itafanikisha uchaguzi huru na haki ifikapo mwaka wa 2027. Kulingana na Mwenyekiti wa Tume hiyo,...
Huku zikiwa zimesalia siku 15 pekee kung’oa nanga kwa kipute cha CHAN mwezi ujao, Kenya imeratibiwa kupambana na DRC, Morocco, na Angola katika Kundi A linalotajwa...