Mshambulizi wa Manchester United Marcus Rashford akamilisha vipimo nchini Uhispania hapo jana. Hata hivyo Baada ya Marcus Rashford kukamilisha vipimo hivyo vya afya kwa mafanikio huko...
Msanii nguli wa muziki Afrika Mashariki, Kaa la Moto, amekingia kifua kauli ya msanii mwenzake Kelechi Africana aliyedai kuwa “kinachowafelisha wanamuziki wa Mombasa ni ukahaba.” Akizungumza...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amefanya mabadiliko katika serikali yake na kumteua afisa mkuu mtendaji wa idara ya barabara Philip Charo kuwa kaimu waziri...
Mahakama mjini Malindi kaunti ya Kilifi iliwaamuru washukiwa 11 waliokamatwa katika kijiji cha Kwa Binzaro kilomita sita kutoka eneo la Shakahola kuzuiliwa rumande kwa mda wa...
Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kyalo Kaloki amewapongeza wenyeji kwa juhudi ambazo wamekuwa wakiweka kudhibiti mauaji ya wazee kwa tuhuma za uchawi. Kaloki...
Mbunge wa Kaloleni kaunti ya Kilifi Paul Katana ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kujiepusha na siasa ambazo huenda zikasababisha chuki miongoni mwa wenyeji. Akizungumza katika...
Shughuli za kibiashara katika soko la Tezo kaunti ya kilifi ziliathirika jumatatu ya Julai, 21, 2025 kufuatia mgomo wa wahudumu wa tuktuk. Kulingana na wafanyibiashara katika soko...
12 DAYS TO GO CHAN-Siku 12 zikiwa zimesalia kungoa nanga taji la CHAN Tumulike Mabingwa mara 2 wa kombe hilo Morocco. Morocco-Wanajiita The Atlas Lions kwa...
Wadau wa sekta ya utalii wadi ya Watamu kaunti ya Kilifi wameripoti kuimarika kwa sekta ya utalii eneo hilo mwaka wa 2025 ikilinganishwa na mwaka uliopita...
Mabingwa wa Ligi Kuu Uturuki, Galatasaray wamekamilisha usajili wa mshambuliaji, Victor Osimhen, 26, raia wa Nigeria kwa ada ya uhamisho ya jumla ya Euro milioni 75...