Mahakama kuu ya Mombasa imeanza kuskiliza kesi ya mauaji ya aliyekuwa Kaimu Meneja wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC katika kaunti ya Kilifi...
Muungano wa Wazee wa Kaya eneo la Pwani unaitaka serikali ya kitaifa kubuni mikakati ya kuhakikisha bandari ya Mombasa inawafaidi wenyeji wa Pwani hasa katika suala...
Uhaba wa wauguzi ni miongoni mwa changamoto ambazo zinatatiza shughuli za utoaji wa huduma za matibabu katika hospitali ya rufaa mjini Kilifi kaunti ya Kilifi. Wakizungumza...
Wabunge wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wameapa kuidhinisha orodha ya makamishna pamoja na Mweneyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC punde tu itakapowasilishwa...
Katibu mkuu wa Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini (KNUT) Collins Oyuu ameitaka serikali kuu kuharakisha mchakato wa kusambaza fedha za kufadhili masomo shuleni. Oyuu...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imewaonya watu wanaoishi karibu na Timbo iliyoporomoka jana na kusababisha maafa kutoingia katika timbo hilo ili kudhibiti visa vya watu kufariki....
Mwenyekiti wa mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani nchini, NTSA Khateeb Mwashetani amesema wamerudisha huduma za utoaji wa nambari za usajili wa magari baada ya...
Mwenyekiti wa muungano wa wahudumu wa maboti kaunti ya Kilifi Shallo Issa maarufu captain Shallo amesema kuwa mapato ya wavuvi msimu huu yameongezeka ikilinganishwa na hapo...
Miamba wa Uingereza kilabu ya Manchester United imetinga kwenye fainali ya Europa ligi msimu huu kishindo bila kupoteza hata mechi moja. Haya yanajiri baada ya vijana...
Rais William Ruto amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC na makamishna 6 wa tume hiyo ili kufanikisha...