Wakaazi wa kaunti ya Lamu kwa ushirikiano na Shirika la kijamii la Save Lamu wamefanya maandamano ya amani kupinga mradi wa uzalishaji wa Kawi ya Mawe...
Kesi dhidi ya mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake 38 kuhusu ukatili na ukiukaji wa haki za watoto inaendelea kusikizwa katika mahakama ya watoto ya...
Mwandishi nguli wa vitabu vya tamthilia Ngugi wa Thiong’o ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Familia imethibitisha kifo chake kilichotokea siku ya Jumatano Mei...
Rais William Ruto amejitokeza na kuomba msamaha kwa niaba ya vijana wa Gen Z dhidi ya utawala wa Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Rais...
Mafisa wa uokoaji kaunti ya Kilifi bado wanaendelea kupiga mbizi baharini kutafuta Mwili wa Mwanabaharia mmoja Kapteni Kivondi, aliyezama Jumamosi usiki wa tarehe 24 Aprili, akiwa...
Kenya imechaguliwa kuandaa mashindano ya mchezo wa Karate wa mabingwa barani Africa wa shirikisho la Japan Karate Association JKA mwaka 2027. Hii ni mara ya kwanza...
Serikali ya kitaifa kupitia wizara ya uchumi na raslimali za baharini na maziwa imetenga kima cha shilingi milioni 600 ili kuanzisha mradi wa bandari ndogo katika...
Mwenyekiti wa wa wahudumu wa maboti Kilifi mjini kaunti ya Kilifi, Shallo Issa maarufu captain Shallo amesisitiza haja ya wavuvi wa eneo hili kuimarishwa kupitia vifaa vya kisasa vya uvuvi....
Mamia ya vijana wamejitokeza katika uwanja wa Karisa Maitha mjini Kilifi Kaunti ya Kilifi kutafuta usajili wa kazi za ughaibuni kama ilivyotangazwa na serikali. Kulingana na...
Kilabu ya akina dada Kenya Police Bullets ndiyo mabingwa wa ligi ya taifa akina dada kwpl baada ya kuwanyuka Trinity starlets magoli 4-0 mechi ya mwisho...