Kilabu ya Manchseter City iko kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na kiungo wa AC Milani Tijjani Reijnders kumleta ugani Etihad msimu ujao. Mawakala wa mchezaji...
Kilabu ya Arsenal imeambiwa ni lazima itoe kitita cha pauni milioni 75 kunasa huduma za mshambulizi wa taifa la Slovenia na kilabu ya RB Leipzig Benjamin...
Beki wa kilabu ya Bayern Leverkusen Jeremie Frimpong ni rasmi amejiunga na mabingwa wa ligi kuu Uingereza Liverpool. Beki huyo mholanzi amejiunga na The Reds kwa...
Nguli wa Bongo Flava kutoka Tanzania, AY, ametua jijini Nairobi tayari kwa tamasha linalosubiriwa kwa hamu – Millennials Bongo Tour, litakalowasha moto Kilimani, Jumapili hii, tarehe...
Shughuli za masomo katika shule ya msingi ya Arabuko Sokoke eneo la Kakuyuni kaunti ya Kilifi zilitatizika mapema siku ya Ijumaa baada ya Wazazi kuandamana wakilalamikia...
Kilabu ya Real Madrid imtangaza kupata sahihi ya beki wa taifa la Uingereza na kilabu ya Liverpool Alexander Trent Arnold. Miamba hao wa Uhispania inaaminika imelipa...
Idara ya afya eneo bunge la Malindi kaunti ya kilifi imeripoti ongezeka la visa vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume miongoni mwa wanaume katika...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi Owen Baya ametoa wito kwa wenyeji wa kaunti ya Kilifi ambao wana watoto walio na uatilifu kujitokeza kuchukua basari...
Bunge la kitaifa, Jumamosi, Mei 31 linatarajiwa kuanza kuwapiga msasa mwenyekiti na makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC. Ni shughuli iliyoratibiwa kufanyika...
Kiongozi wa Chama cha People’s Liberation Party, PLP nchini Kenya Martha Karua, aliwasili nchini Uganda katika juhudi za kumuakilisha Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Bessigye...