Wafanyabiashara katika soko la Matano Mane, eneo la Vitengeni, Kaunti ya Kilifi, wameitaka serikali ya kaunti hiyo kuwajengea choo, wakisema ukosefu wa huduma hiyo muhimu umekuwa...
Kilifi, Kenya – Wachuuzi wa viazi vitamu katika barabara ya mjini Kilifi wameripoti kuimarika kwa biashara hiyo ikilinganishwa na vipindi vya nyuma, wakisema hali hiyo imesababishwa...
Daraja la Sabaki eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi limo hatarini ya kuporomoka kufuatia mvua kubwa inayoendelea kuonyesha katika kanda ya Pwani na kusababisha mmomonyoko...
Naibu Rais Prof Kithure Kindiki amesema kuna matumaini ya kuondolewa kwa mswada unaolenga kuharamisha mzao la Mugoka ambao ulikuwa umewasilishwa bungeni. Kindiki alisema hatua hiyo ni...
Msanii Zuchu awasha moto mitandaoni baada ya kujiita “Mrs. Nasibu” kwenye Instagram. Je, hii ni ndoa rasmi na Diamond Platnumz au kiki ya muziki? Soma zaidi...
Mkurugenzi wa kituo cha huduma mjini Kilifi kaunti ya Kilifi Linet Magwar amewataka wakaazi wanaotuma maombi ya kupata vitambulisho kuhakikisha wanafuatilia stakabadhi hiyo baada ya kutuma...
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ameagiza wizara 10 zilizogatuliwa katika serikali za kaunti kupeana kandarasi za kutekeleza miradi ya maendeleo kwa makundi ya akinamama...
Katika maisha ya kila siku, usafiri wa bodaboda umekuwa sehemu muhimu kwa watu wa tabaka mbalimbali mijini na vijijini. Kwa urahisi wake, bei nafuu, na uwezo...
Timu ya taifa Harambee Stars kushuka dimbani kucheza na Chad Juni 7,mechi hio ya kirafiki ikipigwa katika ardhi ya morocco kabla ya mechi ya pili juni...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imetaja kupungua kwa visa vya mauaji ya wazee wanaohusishwa na tuhma za uchawi katika eneo bunge la Rabai. Naibu Kamishna...