Timu ya taifa Harambee Stars imefanya mazoezi ya kwanza nchini Morocco inapojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Chad hapo kesho. Vijana wa nyumbani waliwasili nchini...
Maafisa wa Idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI kaunti ya Mombasa wamewakamata washukiwa 6 wa uhalifu wa mtandao wanaoshukiwa kuhusika na ulaghai kwa kutumia teknolojia ya...
Fadhili Bavyombo, msanii maarufu wa muziki wa bango kutoka Pwani ya Kenya, amezua mjadala mkubwa mitandaoni baada ya kuchapisha ujumbe tata wa kisiasa kwenye ukurasa wake...
Afisa wa masuala ya dharura katika Shirika la kutetea haki za kibinadamu la MUHURI Francis Auma alisema serikali kuu inahusika na visa vya utekaji nyara licha...
Mbunge wa Likoni Bi Mishi Mboko amewakosoa baadhi ya wakaazi wa eneo bunge hilo kwa madai ya kukosa kuchukulia kwa uzito kesi za dhulma za kijinsia...
Mabingwa watetezi wa soka kwa shule za upili eneo la Likoni Moi Forces Academy walianza vyema kampeni ya kutetea taji lao kwa kupata ushindi katika mechi...
Baadhi ya ofisi za Shule ya Wavulana ya Kinango kaunti ya Kwale zimeteketea baada ya moto kuzuka katika shuleni hiyo usiku wa kuamkia siku ya Jumatano....
Baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti ya Mombasa wanaendelea kumpigia debe Waziri wa madini na uchumi wa bahari na maziwa nchini, Ali Hassan Joho kuwa Kiongozi...
Waziri wa mazingira nchini Debora Mulongo alisema serikali kuu imepiga hatua katika upanzi wa miti nchini. Mulongo alisema wizara hiyo inalenga kuhamasisha wananfunzi kote nchini kukumbatia...
Vijana katika Kaunti ya Tana River wameanzisha biashara ya upishi wa sambusa za samaki kwa lengo la kujikwamua kiuchumi kwa kutumia rasilimali za baharini. Wamebuni mbinu...