Kilabu ya Arsenal imekubaliana na kiungo wa Real Sociadad Martin Zubimendi kuhusiana na uhamisho wa pauni milioni 51. Raia huyo wa Uhispania mwenye umri wa miaka...
Serikali kupitia Wizara ya Leba na maslahi ya kijamii imetenga shilingi milioni 250 mwaka wa 2025 ili kuimarisha uwezeshaji wa watu wanaoishi na ulemavu nchini. Katibu...
Mswada unaolenga kumuondoa Mamlakani Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire, uliwasilishwa kwa Karani wa bunge hilo Micheal Ngala. Kulingana na utaratibu wa mabunge...
Wimbo mpya wa “BARAKA” unaowakutanisha Rojo Mo, Nyota Ndogo, Chikuzee, na Cannibal The Chosen One unaendelea kumwagiwa sifa kwenye mitandao ya kijamii kwa kukutanisha lejendari wa...
Waziri wa Elimu kaunti ya Kilifi Felkin Kaingu alisema serikali ya kaunti ya Kilifi imeweka mikakati ya kuimarisha mpango wa elimu kwa wote unaotoa elimu ya...
Kocha wa kilabu ya akina dada Vihiga Queens ya Magharibi Bonface Nyamunyamu amesema kwamba kwa sasa wanaangazia kupata taji la akina dada FKF Cup baada ya...
Kilabu ya Tottenham Hotspurs kumtangaza kocha wa sasa wa Brenford Thomas Frank kuwa kocha mpya wa kilabu hiyo kumrithi Ange Postecoglou aliyepigwa kalamu wiki jana kutokana...
Wahudumu wa boda boda huko Mariakani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanatilia shaka ongezeko la watu wanaojifanya wanabodaboda ilihali watekeleza visa vya uhalifu eneo...
Kilabu ya Manchester City imetangaza kukamilisha uhamisho wa wachezaji watatu tayari kwa msimu mpya baada ya kukamilisha vipimo vya kimatibabu. Wachezaji hao watatu ni pamoja na...
Chama cha mawakili nchini LSK kinamtaka Inspakta jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja kuhakikisha kuna uwazi kufuatia kifo tatanishi cha mwanablogu Albert Ojwang’. Akihutubia Wanahabari siku...