Maandamano ya vijana wa Gen Z jijini Nairobi wanaoshinikiza Naibu Inspekta jenerali wa polisi Eliud Lagat kujiuzulu yalikumbwa na changamoto baada kundi la vijana wahuni kuingilia...
Rais wa Shirikisho la mchezo wa soka nchini Hussein Mohammed amefichua kwamba wamelipa badhi ya marupurupu kwa kikosi cha soka kwa akina dada Harambee Starlets. Hata...
Kiungo mshamabulizi wa kilabu ya Brenford na Cameroon Bryan Mbeumo ameweka wazi kuwa anapendelea kujiunga na kilabu ya Manchester United pekee msimu huu. Mchezaji huyo ambaye...
Rais William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa kupambana na utakatishaji Fedha na kufanyia marekebisho sheria ya kupambana na ufadhili wa ugaidi ya 2025. Mswada...
Mwanasiasa na Mfanyibiashara Lung’anzi Chai amelalamikia huduma duni mashinani zinazotolewa na viongozi walio mamlakani kaunti ya Kwale, akisema wakaazi wengi wamekuwa wakihangaika kwa kukosa huduma bora....
Serikali ya kitaifa imezindua mpango wa msaada wa shilingi milioni 60 kwa wakazi wa Tana River walioathiriwa na mafuriko ya kudumu. Mpango huo ulizinduliwa na katibu...
Kikosi cha Taifa mchezo wa Handiboli wachezaji chipukizi kuanza rasmi mashindano ya kombe la dunia hapo kesho mjini Tunis Tunisia. Kulingana na droo iliyofanywa hii leo...
Kikosi cha soka akina dada Harambee Starles imeanza vema mashindano ya ukanda wa Afrika Mashriki na kati CECAFA ambayo yanandelea mjini Dar es Salaam Tanzania. Hii...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen ametoa taarifa kuhusu hatua ambazo zimepigwa na wizara hiyo katika kuimarisha usalama. Akizungumza katika jumba la Harambee jijini Nairobi,...
Familia ya Mwanamme aliyezama baharini katika kaunti ya Kilifi siku kadhaa zilizopita, inahimiza serikali kuongeza juhudi na kuwapa msaada wa kumtafuta jamaa wao. Ikiongozwa na Omar...