Kilabu ya Liverpool imekubaliana na AFC Bournemouth kuhusiana na uhamisho wa pauni milioni 4o kwa beki Milos Kerkez raia wa Serbia. Tineja huyo anatarajiwa kuwasili Liverpool...
Kikosi cha soka akina dada kushuka dimbani kucheza dhidi ya Twiga Stars Ya Tanzania kwenye fainali ya kipute cha CECAFA Afrika Mashariki ugani Azam Sports Complex....
Baadhi ya wavuvi kutoka eneo la old ferry kaunti ya kilifi wamegeukia biashara ya kuchoma mahindi machanga kutokana na kutoweza kuingia baharini. Wavuvi hao wamesema kuwa...
Wanawake kutoka maeneo ya Pwani wanaitaka serikali kuu na zile za kaunti kuhakikisha wanashirikishwa kikamilifu katika sekta ya uchumi wa majini ili kujiendeleza kimaisha. Wakiongozwa na...
Wadau wa sekta ya utalii wanaojihusisha na uuzaji vinyago mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kusambaratika kwa biashara zao kufuatia idadi ndogo ya watalii wanaozuru eneo...
Wafanyibiashara wa kuuza maembe katika eneo la mariakani kaunti ya kiliifi wanasema kuwa msimu huu wa mvua biashara iko chini ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana...
Naibu Inspekta jenerali wa polisi Eliud Lagat aliandikisha taarifa kwa maafisa wa uchunguzi wa Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi nchini IPOA. Lagat, aliandikisha...
Msanii wa muziki wa rap kutoka Pwani, Ramadhan Ngao Mangale maarufu kama Young Njita – Njigiri, amezungumza kwa mara ya kwanza kwa kina kuhusu mgogoro unaomkabili...
Katika kile kinachoonekana kama sauti ya busara katikati ya hali ya sintofahamu na maumivu ya hadharani, msanii na mwanamuziki maarufu wa Kenya, Bahati, ameweka ujumbe mzito...
Baada ya siku kadhaa za drama ya hadharani iliyojaa hisia kali, maumivu, na mfululizo wa tuhuma zilizosambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii nchini Kenya, hatimaye...