Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Iran yameanza kutekelezwa huku nchi hizo mbili zikithibitisha tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu hatua hiyo....
Muungano wa waendeshaji wa tuktuk katika kaunti ya Kwale umetaka serikali ya kaunti hiyo kuwatengea sehemu maalum ya kudumu ya maegesho. Madereva hao walisema kuwa sekta...
Kenya inapolenga kuongeza ushuru unaokusanywa katika sekta ya uchukuzi wa angani, suala la usalama wa ndege zinazosafiri kupitia mataifa yanayoshuhudia ghasia limeibua wasiwasi. Mkurugenzi wa Halmashauri...
Rais William Samoei Ruto ameahidi kununulia basi jipya Mabingwa wapya wa ligi kuu FKF PL Kenya Police kwa kazi kuntu waliofanya msimu huu. Rais alitoa ahadi...
Mama wa Taifa Rachel Ruto amesema serikali kuu inaendeleza mikakati thabiti kuhakikisha kila mmoja hapa nchini anawezeshwa vilivyo wakiwemo wajane ili waweze kujiendeleza kimaisha. Mama wa...
Bodi ya Bara Ulaya EU limeidhinisha kuchukuliwa kwa mashindano ya mbio za magari MotorGP na kampuni ya Liberty Media ya Marekani ambao pia ni wamiliki wa...
Wachezaji wa Tenesi kwa akina dada Naomi Osaka wa Japan na Victoria Azarenka wote wameweza kujikatia tiketi ya Raundi ijayo msururu wa Wimbledon baada ya kushinda...
Rais William Ruto ameahidi kuwaunga mkono maafisa wa polisi katika kutekeleza majukumu yao ya kulinda haki za kila mwananchi. Rais Ruto alisisitiza haja ya kulinda pia...
Kaunti ya Kilifi imetajwa kuripoti visa vingi vya wasichana na wanawake kudhulumiwa kingono. Haya ni kwa mujibu wa shirika la utetezi wa haki za kibinadamu la...
Wajane katika kaunti ya Kilifi wamehimiza kuangaziwa kwa madhila wanayopitia katika jamii ili kuwawezesha kukidhi mahitaji yao kikamilifu. Wajane hao walitoa wito kwa serikali kuwatambua badala...