Serikali ya kaunti ya Kilifi kwa ushirikiano na Wizara ya Madini imesitisha rasmi shughuli zote za uchimbaji madini zinazotekelezwa na kampuni ya Simba Cement eneo la...
Huduma ya kitaifa ya polisi nchini NPS iliagizwa kukabidhi orodha ya malipo ya polisi na kazi zote zinazohusiana na raslimali za umma kwa Tume ya kitaifa...
Mashahidi wawili wa umri mdogo wameelezea Mahakama ya Mombasa ukatili waliopitia mikononi mwa wazazi wao kufuata maagizo ya mchungaji Paul Mackenzie katika kesi ya mauaji inayomkabili...
Mabingwa wa Bara Afrika kwa soka la akina dada Super Falcons wamevuna vinono kutoka kwa rais wa taifa hilo punde tu baada ya kutua kutoka mjini...
SIKU 4 ZIMESALIA KUNGOA NANGA KOMBE LA CHAN Timu ya Taifa Ya Morocco marufu ‘Atlas Lions ‘ wamefanya mazoezi Yao ya kwanza Ugani Nyayo hapo jana...
Mwili wa mvuvi Hudhefa Laly aliyepotea baharini huko Watamu eneo bunge la Kilifi Kaskazini Kaunti ya Kilifi akiwa na ndugu yake Athman Laly umepatikana eneo la...
Wizara ya afya nchini imesema kaunti ya Mombasa inaongoza kwa visa vya maambukizi ya ugonjwa wa Mpox. Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa idara ya afya...
Jamii ya wavuvi katika eneo la Watamu eneo bunge la Kilifi Kaskazini inaiomba serikali ya kaunti ya Kilifi na ile ya kitaifa kununua boti za uokozi...
Seneta mteule katika kaunti ya Mombasa Miraj Abdillahi ameunga mkono mpango wa gavana wa kaunti hiyo Abdulswamad Shariff Nassir wa kuzindua vitambulisho maalumu kwa wenyeji wa...
Waumini wa kanisa la Wesley Methodist kaunti ya Mombasa wametoa wito kwa usimamizi wa kanisa hilo kutafuta suluhu la kudumu kutokana na mvutano ambao umekuwa ukishuhudiwa...