Rais William Ruto ameidhinisha Mswada wa Fedha wa 2025. Ruto alitia saini mswada huo kuwa sheria asubuhi ya alhamisi tarehe 26 juni 2025 katika ikulu ya...
Bingwa wa Olimpiki wa dunia mbio za mitaa 1500 Mkenya Faith Kipyegon atakua anaingia kwenye daftari za kumbukumbu kwa kuwa mwanamke wa kwanza kukimbia mile moja...
Ujio wa tekinolojia umetajwa kuathiri biashara ya kuuza radio mjini kilifi kaunti ya kilifi. Kulingana na wafanyibiashara wa kuuza radio mjini kilifi biashara hiyo imedorora pakubwa...
Wahudumu wa bodoboda kutoka eneo la Kibaoni kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara hiyo imedorora baada ya wanafunzi kufunga shule kwa likizo fupi. Kulingana na Robert...
Wakulima wa mahindi humu nchini wanasema kuwa wanatarajia mavuno bora mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana. Kulingana na wakulima hao mvua inayoendelea kunyesha kote nchini inawapa...
Mashindano ya Mchezo wa Voliboli ya watu wanaoishi na ulemavu Barani Afrika kuandaliwa humu nchini Julai 1 hadi Julai 10. Tayari Droo ya makala ya mwaka...
Mwenyekiti wa kitaifa wa Taireni Association of Mijikenda, Peter Ponda Kadzeha amepinga madai kwamba wakaazi kuhusishwa katika miradi ya maendeleo katika eneo la Moi kadi ya...
Mwenyekiti wa Shirika la Malindi District Cultural Association, MADCA Stanley Kahindi Kiraga amesema misitu ya Kaya iko katika hatari ya kuangamizwa licha ya kuwa misitu hiyo...
Ni rasmi kuwa kilabu ya Barcelona ya Uhispania itarejea kwenye uga wao wa kihistoria Camp Nou Agosti 10 kwa ajili ya Kombe la Joan Gamper, mchuano...
Rais William Ruto amesema wanaendeleza mikakati thabiti katika kuhakikisha kuna miradi mingi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kaunti ya Kilifi na kanda ya Pwani kwa jumla. Rais...