Waziri wa Michezo Salim Mvurya ameweza kukabidhi rasmi uwanja wa Kasarani kwa kamati andalizi ya mashindano ya CHAN ikiwa inashiriria kwamba uwanja huo uko tayari kwa...
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amesisitiza ushirikiano kati ya ufaransa na Kenya katika kutetea ajenda ya kimataifa inayojumuisha maendeleo endelevu na hatua za kukabili mabadiliko ya...
Wafugaji wa kuku katika eneo la Jilore kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kaunti kuwapa mafunzo ya kisasa kuwawezesha kuendeleza ufugaji ili kuepuka hasara ambazo wamekuwa...
Ili kufanikisha malengo ya taifa ya kupokea watalii milioni tano ifikapo mwaka 2027 serikali imehimizwa kuharakisha utoaji wa leseni kwa ndege na ndege za kukodi. Wadau...
Kwa mara nyingine tena, majina ya Simon Kabu na Sarah ‘Mtalii’ Njoki yamerudi kwenye vichwa vya habari, baada ya video ya hivi karibuni kusambaa mtandaoni na...
Mahakama ya Upeo imesitisha ujenzi wa kituo cha pili cha kushughulikia nafaka katika bandari ya Mombasa baada ya kutangaza zabuni iliyotolewa na Mamlaka ya bandari nchini...
Bunge la kaunti ya kaunti ya Kilifi limepiga kura na kumtimua mamlakani Spika Teddy Mwambire. Hii ni baada ya wawakilishi wadi 40 kati ya 51 kupiga...
Mkufunzi wa Shule Ya Upili ya Jaribuni Hassan Pande amesema kwmaba iwapo watabanduliwa kwenye hatua ya makundi mashindano ya Shule za Upili ukanda wa Pwani Mpeketoni...
Idadi ya wachuuzi wa njugu mjini Kilifi kaunti ya Kilifi imetajwa kuongezeka msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na Kazungu Kaingu, vijana wengi punde wanapomaliza...
Kilabu ya Nairobi United ndiyo mabingwa wa kombe la FKF Cup baada ya kunyuka Gor Mahia magoli 2-1 uwanjani Ulinzi Sports Complex hapo jana. Kiungo Frank...