Wahudumu wa sekta ya Tuktuk mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamelalamika kuhangaishwa na maafisa wa trafiki mjini humo licha ya kutimiza vigezo hitajika vya kuwaruhusu kuhudumu...
Mamlaka ya bandari nchini KPA imeanza kutumia mashine za kufyonza ukungu maarufu mist blower fogging units katika bandari ya Mombasa, ili kudhibiti vumbi hatari linalotokana na shughuli...
Chama cha mawakili nchini LSK tawi la Malindi kimeshtumu ukiukaji wa sheria uliotekelezwa na viongozi wa bunge la kaunti ya kilifi kwa kupuuza agizo la mahakama...
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya Kilifi kujenga ukumbi maalum ambapo wakulima wataweza kupeleka mazao yao. Kulingana na mwenyekti wa soko la magarini kaunti ya...
Waziri wa Utalii, Utamaduni na Biashara katika Kaunti ya Mombasa, Mohammad Osman, amesema sekta ya utalii imekuwa ikidorora katika miaka ya hivi karibuni, hali ambayo huenda...
Baadhi ya mawakili nchini wanataka chama cha mawakili nchini LSK kuwaondoa kwenye orodha ya mawakili, naibu rais Prof Kithure Kindiki na waziri wa usalama wa ndani...
Kulikuwa na kizaazaa Julai mosi 2025 katika kijiji cha Mabirikani eneo la Eureka Mitangoni karibu na Mavueni kaunti ya Kilifi baada ya mwanamume anayedaiwa katumia nguvu...
Siku kumi baada ya mwanablogu Ndiang’ui Kinyagia kutoweka, kesi ya kumtaka inspecta jenerali wa polisi Doglas Kanja kueleza alipo mwanablogu huyo iliendelea kusikilizwa katika mahakama ya...
Wabunge wanaharakisha mchakato wakutunga sheria inayolenga kuwakinga wao wenyewe na taasisi nyingine za serikali dhidi ya athari za maandamano ya umma siku zijazo. Katika mapendekezo ya...
Nyota wa mchezo wa Tenesi Ulimwenguni Novak Djokovic raia wa Serbia anaingia leo ulingoni kusaka taji la 25 la Wimbledon. Hata hivyo mchezaji huyo anatarajiwa upinzani...