Wanariadha nguli wa Kenya watatumia mbio za makala ya Oregon Prefontaine Classic kama mbio za majaribio kabila ya mbio za Dunia mjini Tokyo Japan badaye mwakani....
Kilabu ya Chelsea imethibitisha kumsajili mshambulizi wa kilabu ya Brighton and Hove Albion FC Joao Pedro raia wa Brazil kwa pauni milioni 60. Mchezaji huyo amesafiri...
Kilabu ya Gor Mahia imevunjiliwa mbali kamati yake ya kiufundi ikiongozwa na kocha mkuu Zedekia ‘Zico’ Otieno kufuatia msimu mbovu wakiambulia patupu. Mabingwa hao mara 21...
Mkufunzi wa timu ya Taifa ya Soka Harambee Stars Benni Mccarthy amekitaja kikosi cha wachezaji 30 kuanza kambi ya mazoezi kwa makala ya CHAN Agosti 3-Agosti...
Jopo la majaji 12 mjini New York limempata msanii maarufu wa muziki wa hip hop, Sean “Diddy” Combs, bila hatia katika mashtaka mazito yaliyomkabili, ambayo yangeweza...
Wizara ya Afya imetangaza kampeni ya kutoa Chanjo bila malipo kote nchini katika juhudi za kukabiliana na maradhi ya ukambi, Homa ya tumbo na Surua. Zoezi...
Serikali ya kitaifa kupitia Wizara ya Utalii na wanyamapori nchini imetoa kima cha shilingi milioni 60 za fidia kwa wakaazi walioathirika na mizozo ya wanyamapori katika...
Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za bahari nchini Hassan Ali Joho amesema wanawake nchini wanapaswa kuwezeshwa ili wajiendeleze kimaisha. Joho ambaye alikuwa akizungumza katika...
Mbunge wa Likoni Mishi Mboko amempongeza rais William Samoei Ruto, akisema uongozi wake haujawabagua wakaazi wa Pwani katika masuala ya maendeleo. Akizungumza mjini Garsen katika kaunti...
Naibu wa Rais Prof. Kithure Kindiki amesema serikali kuu inaendeleza mikakati ya kuimarisha taifa hili kiuchumi. Akiwahutubia wakaazi wa Garsen kaunti ya Tana River, Prof. Kindiki...