Wiki iliyopita, Combs alipatikana na hatia kwa makosa mawili ya usafirishaji kwenda kufanya ukahaba baada ya kesi ya wiki nane. Anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka...
Serikali kupitia kwa Wizara ya Michezo imedokeza kwamba wanariadha wote wanaovunja rekodi na kufanya vizuri mashindano ya Olimpiki watavuna vinono haya ni kwa mujibu wa Waziri...
Matumaini ya Kilabu ya Arsenal kunasa huduma za mshambulizi wa Sporting Lisbon Victor Gyokeres huenda yakagonga mwamba. Haya yanajiri baada ya kizingiti cha kipenge cha uhamisho...
Chama cha Ndondi kaunti ya Mombasa (MCBA) kinatarajia kuanza rasmi kambi ya mafunzo, hii leo katika taasisi ya Alliance Française huko Nyali, kama sehemu ya maandalizi kuelekea...
Tume ya kutetea haki za binadam nchini KNCHR imetoa takwimu zikionyesha watu 31 wamefariki huku wengine 107 wakijeruhiwa kufikia sasa kufuatia maandamano ya siku ya Saba...
Wizara ya Afya nchini imedai kuwa kumekuwepo na ulaghai mkubwa katika mfumo wa zamani wa bima ya afya ya NHIF. Waziri wa Afya, Aden Duale alisema kuwa zaidi...
Nyota wa muziki nchini Tanzania Juma Jux amekanusha taarifa zinazoenea kuwa alichukua mkopo wa Sh25 milioni (Tsh500 milioni) ili kugharamia sherehe za harusi yake. Mwimbaji huyo...
Wakaazi wa eneo la Kajajini mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamelaumu kampuni ya usambazaji umeme nchini KPL kwa kutozingatia malalamishi yao. Wakaazi hao walisema kwa mda...
Vijana na wanaharakati wa maswala ya vijana kaunti ya Mombasa wanaitaka serikali ya kitaifa kutekeleza maswala ya msingi yanayohusu uongozi na utawala wa sasa. Vijana hao...
Ofisi ya kamishna mkuu wa haki za kibinadamu wa umoja wa mataifa (OHCHR) imeibua wasiwasi kuhusu maandamano ya siku ya Saba Saba nchini Kenya, ambapo makumi...