Msanii nyota wa Marekani, Chris Brown, amekana mashtaka mawili mahakamani yanayohusiana na madai ya shambulio kwa kutumia chupa katika kilabu cha usiku jijini London miaka miwili...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imethibitisha vifo vya watu wawili kutokana na ugonjwa wa Mpox, huku maambukizi mapya yakiendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo. Msimamizi mkuu...
Wenyekiti mpya wa Tume ya uchaguzi na mipaka Erastus Ethekon pamoja na makamishena wengine sita wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), wameapishwa leo Ijumaa...
Shirikisho la soka Barani Afrika CAF limetupa idhini kuandaa chan haya si maneno yangu bali ya mwenyekiti wa kamati andalizi ya CHAN Nicholas Musonye. Akizungumza na...
Sasa ni Rasmi Noni Madueke ni mali ya Arsenal vilabu vyote viwili vimekubaliana kwa ajili ya uhamisho huo wa pauni milioni 52 dhidi ya Muingereza huyo....
Licha ya hali ngumu za kiuchumi zinazoendelea kushuhudiwa nchini, Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA imetangaza kuongezeka kwa mapato yaliokusanywa mwaka wa kifedha 2024/2025 ikilinganishwa na...
Msanii nyota wa muziki wa kimataifa, Justin Bieber, hatimaye ameachia rasmi albamu yake mpya na ya saba kwa jina “Swag”, ikiwa ni albamu yake ya kwanza...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kushuka kwa kiwango cha biashara mjini Kilifi baada ya wateja wanaowategemea kuanza likizo. Kulingana na uchunguzi ulifanywa na Coco...
Wito unazidi kutolewa kwa serikali ya kaunti ya kilifi kuhakikisha kuwa soko lililojengwa miaka 15 eneo la Matano mane linafunguliwa ili kuwawezesha kuendeleza biashara zao bila...
Wasichana katika ukanda wa Pwani wataendelea kupokea elimu ya kujilinda dhidi ya masuala ya kingono kufuatia mpango wa uhamasishaji, ushauri nasaha na hata michezo. Mpango huo...