Connect with us

Sports

Kocha Wa Stars Benni Mccarthy ataja Kikosi cha CHAN

Published

on

Mkufunzi wa timu ya Taifa ya Soka Harambee Stars Benni Mccarthy amekitaja kikosi cha wachezaji 30 kuanza kambi ya mazoezi kwa makala ya CHAN Agosti 3-Agosti 30 katika mataifa ya Kenya,Uganda na Tanzania.

Magolikipa:
Faruk Shikhalo (Bandari), Sebastian Wekesa (Kariobangi Sharks), Brian Opondo (Tusker FC)

Mabeki;
Siraj Mohammed (Bandari FC), Manzur Suleiman (KCB), Pamba Swaleh (Bandari FC), Abud Omar (Kenya Police),Alphonce Omija (Gor Mahia), Sylvester Owino (Gor Mahia), Michael Kibwage (Tusker), Daniel Sakari (Kenya Police), Lewis Bandi (AFC Leopards), Kevin Okumu (KCB)

Viungo;
Brian Musa( Kenya Police), Kelly Madada (AFC Leopards), Keith Imbali (Shabana), Alpha Onyango (Gor Mahia), Mathias Isogoli (KCB), Staphod Odhiambo (Ulinzi Stars), Austine Odhiambo (Gor Mahia), Ben Stanley (Gor Mahia)

Washambulizi;
Mohammed Bajaber (Kenya Police), Boniface Muchiri (Ulinzi Stars), David Sakwa (Bandari), Emmanuel Osoro (FC Talanta), Yakeen Muteheli (Ulinzi Stars), Edward Omondi (Sofapaka), Ryan Ogam (Tusker),Moses Shummah (Kakamega Homeboyz), Beja Nyamawi (Bandari)

Stars wanafungua kampeini yao dhidi ya DR.Congo uwanjani Kasarani Agosti 3.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Makocha Saba pekee Wameshinda Taji La CHAN

Published

on

By

CHAN COUNT DOWN 16 Days to Go

Huku muda ukizidi kuyoyoma kwa kipute Cha CHAN nchini ebu tumulike wakufunzi na Mataifa ambayo yameshinda Kombe hili Tangu kuasisiwa mwaka 2009
Wa Kwanza ni Coach Santos Muntubile na Taifa la DR Congo marufu The Leopards mwaka 2009
Wa Pili ni Kocha Sami Trabelsi na The Carthage ya Tunisia mwaka 2011
Wa Tatu ni Kocha Jalal Damja na Taifa la Libya mwaka 2014
WA nne ni Kocha Florent Ibengé na Taifa la DR Congo mwaka 2016
Wa Tano ni Kocha Jamal Sellami na The Atlas Lions ya Morocco mwaka wa 2018
Wa sita ni Kocha Houcine Ammouta na Morocco mwaka 2021(kombe ambalo lilikua liandaliwe 2020)
Kocha wa Saba ni Pape Thiaw na Senegal mwaka 2022
Continue Reading

Sports

Matumaini Ya United Kupata Mbeumo Yanazidi Kudidimia

Published

on

By

Matumaini ya kilabu ya manchester united kupata huduma za kiungo mshambulizi wa kilabu ya Brenford Bryan Mbeumo yanaonekana kufifia kila kuchao.

Haya yanajiri baada ya mazungumzo hayo kukwama kwa sasa baada ya kilabu hiyo ya London kuongeza ada ya malipo ya mchezaji huyo hadi pauni milioni 70.

Kilabu ya Manchester United haiko tayari kulipa zaidi ya pauni milioni 65 kwa mvamizi huyo raia wa Cameroon.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alifunga magoli 20 ligi ya epl msimu jana.

Continue Reading

Trending