Mwenyekiti wa maandalizi ya CHAN mwezi Agosti nchini Nicholas Musonye amezionya vikali mashabiki wa Afc Leopards na Gor Mahia dhidi ya vurugu ya aina yoyote siku...
Maelfu ya mashabiki kutoka afrika mashariki na kati wamiminika mjini Naivasha kaunti ya Nakuru kwa mbio za magari ya WRC Makala ya mwaka 2025. Kwa mujibu...
Mkufunzi wa timu ya soka harambee stars Benni McCarthy anaamini bado kuna nafasi ya timu hiyo kufuzu dimba la dunia licha ya sare ya goli 1-1...
Bingwa wa zamani wa masumbwi kwa uzito wa juu George Foreman, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na familia...
UTEUZI wa Chelsea wa nyota aliyestaafu hivi karibuni wa ligi ya raga Willie Isa kusaidia wachezaji umepongezwa na kocha wake wa zamani. Isa amehamia Stamford Bridge...
Mkufunzi wa Timu ya taifa Harambee starlets Beldine Odemba ana amini kwamba uwepo wa mashabiki katika uwanja wa Ulinzi Sports Complex Ijumaa hii itawapa msukumo timu...
Klabu ya Manchester United imeonywa kuhusu Ruben Amorim kutaka kuondoka Old Trafford huku utawala wake mbaya ukiendelea, jarida la The Mirror limebaini. Amorim aliwasili wakati wa...