Rais wa Japan Karate Association Kenya, wakili George ametangaza kuwa mdhamini mkuu wa timu za Karate kutoka Kilifi kushiriki katika Mashindano ya Desemba yajayo. Mashindano ya...
Rais wa Chama cha Karate nchini wakili George Kithi amemkaribisha rasmi Shihan Koichiro Okuma, mwalimu kutoka Makao Makuu ya Japan Karate Association (JKA) na Sensei Daniel...
Baada ya kilabu ya Zetech Sparks mpira wa kupata ushindi wa kishindo dhidi ya Strathmore Swords katika nusu fainali za Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Wanawake...
Mchezaji wa Tenisi Novak Djokovic amefuzu kwenye mechi ya nusu fainali ya US Open dhidi ya Carlos Alcaraz siku ya Jumanne huku bingwa mtetezi wa upande...
Matumizi ya rekodi ya pauni bilioni 3 ($4 bilioni) katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi yamezidi kuimarisha hadhi ya Ligi Kuu ya England kama...
Kiungo mshambuliaji wa Paris Saint-Germain (PSG), Marco Asensio, amejiunga na klabu ya Uturuki ya Fenerbahce siku ya mwisho ya dirisha la usajili, vilabu vyote viwili vilithibitisha...
Mshambulizi wa Uingereza Jamie Vardy, ambaye mabao yake yaliipeleka Leicester City kutwaa taji la kipekee la Ligi Kuu ya England mwaka 2016, amejiunga na kikosi kipya...
Kilabu ya Napoli hapo jana imetangaza kumsajili mshambuliaji Rasmus Hojlund kwa mkopo kutoka kilabu ya Manchester United ikiwa na wajibu wa kumnunua kwa mkataba wa kudumu,...
Kocha mkuu wa Harambee Stars, Benni McCarthy, ameepuka kujibu moja kwa moja maswali kuhusu kuachwa kwa Austin Odhiambo kwenye kikosi cha Kenya kitakachocheza mechi za kufuzu...
Kilabu ya Liverpool wakubaliana kumsajili mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak kutoka Newcastle United Liverpool wamekubaliana kumsajili mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak kutoka Newcastle United kwa mkataba...