Kocha wa zamani wa Ubelgiji Domenico Tedesco amechukua nafasi ya Jose Mourinho kama meneja wa klabu ya Uturuki Fenerbahce kwa mkataba wa miaka miwili, klabu hiyo...
Nahodha wa kilabu ya Gor Mahia, Philemon Otieno, ametangaza kuwa kikosi hicho kiko tayari kwa pambano lao kubwa la maandalizi ya msimu dhidi ya miamba wa...
Timu ya soka Harambee Stars hatimaye wamehitimisha kusubiri ushindi wa nyumbani kwenye kufuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa kishindo cha mabao 5-0 dhidi...
Mkufunzi Nuno Espírito Santo ametimuliwa na Nottingham Forest baada ya michezo mitatu pekee ya msimu mpya. Kocha huyo kutoka Ureno aliiongoza Forest kufuzu Ulaya msimu uliopita...
Mshambuliaji wa Liverpool Hugo Ekitike amekaribisha ujio wa mchezaji mpya aliyesajiliwa kwa rekodi ya Uingereza, Alexander Isak, na amesema ana furaha na changamoto ya kushindania nafasi...
Mchezaji wa Uhispania Carlos Alcaraz alimpiga breki Jannik Sinner raia wa Italia kwenye utawala kwa mtindo wa kipekee na kutwaa taji lake la pili la US...
Mchezaji Nambari moja duniani mchezo wa tenisi kwa akina dada Aryna Sabalenka alimshinda Amanda Anisimova na kutetea taji lake la US Open siku ya Jumamosi, baada...