Mwanaharakati wa kupambana na Mihadarati katika ukanda wa Pwani Famau Mohammed Famau amesema maeneo ya mijini yameoathirika zaidi na utumizi wa mihadarati ikilinganishwa na maeneo ya...
Mwakilishi wadi ya Sokoke kaunti ya Kilifi Thaura Mweni ameibua madai kwamba kuna vijana ambao walilipwa kima cha shilingi elfu 50 ili kuzua vurugu katika mkutano...
Wanaharakati wa maswala ya kiafya nchini wamehimiza umuhimu wa kuanzishwa kwa sera ambazo zitasaidia wagonjwa wa kifua kikuu yaani TB na virusi vya Ukimwi nchini ili...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC limeanza rasmi awamu ya kwanza ya kuwahoji watu waliotuma maombi ya kujaza...
Baadhi ya wakaazi kaunti ya Kilifi wamemtaka gavana wa kaunti hiyo Gedion Mung’aro kulifanyia marekebisho baraza lake la mawaziri kwa madai ya kufeli kutekeleza wajibu wake...
Mbunge wa Ganze Kenneth Kazungu Tungule amesema tatizo kubwa ambalo linakumba eneo bunge hilo ni umasikini. Akizungumza kwenye kipindi cha Coco Asubuhi, Tungule amesema eneo bunge...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini HELB imetoa shilingi bilioni 1.56, kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na...
TAHADHARI- Taifa la Marekani limetoa tahadhari ya usafiri kwa raia wake, likiwataka kutotembelea maeneo ya mpaka wa Kenya na Somalia kutokana uwezekano wa kutokea mashambulizi ya...
Wakaazi wa Mariwenyi gatuzi dogo la Mwatate kaunti ya Taita Taveta wamelalamikia uharibifu mimea yao unaosababishwa na wanyamapori katika eneo hilo. Kisa cha hivi karibuni ni...
Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani nchini Dkt Raymond Omollo amewarai wanasiasa na wafanyibiashara nchini kuisaidia serikali kufanikisha ajenda yake ya miradi ya maendeleo mashinani....