Tume uchaguzi na mipaka nchini (IEBC) imerejesha tovuti yake ambayo wapigakura huthibitisha taarifa zao za usajili, baada ya kipindi cha ukarabati. Hii ni kufuatia malalamishi ya...
Mahakama kuu ya Malindi imebatilisha uamuzi wa bunge la kaunti ya Kilifi wa kumtimua Mamlakani Spika wa bunge hilo Teddy Mwambire na kuagiza Spika Mwambire kurejea...
Watu wanne wamethibitishwa kuaga dunia wakati wa maandamano ya kuadhimisha miaka 35 ya kumbukumbu za Sabasaba ambapo watu 2 wamepiga risasi na kufariki katika maeneo ya...
Baadhi ya Wanaharakati kaunti ya Mombasa wakiongozwa na Amina Ridhwan wametoa wito kwa serikali kuu kufanya mazungumzo na vijana wa kizazi cha Gen Z ili kusitisha...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema sekta ya afya inatarajiwa kuimarika pakubwa kutokana na mikakati ya kuanzishwa kwa kituo cha kutoa matibabu ya...
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amewaalika wakenya kujumuika naye kati kumbukumbu za maandamano ya siku ya Sabasaba katika uwanja wa Kamukunji jijini Nairobi. Odinga...
Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen ameshinikiza amani wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya siku ya Sabasaba ambayo inafanyika Julai 7, 2025. Akizungumza katika kaunti...
Chama tawala nchini Uganda, cha National Resistance Movement (NRM), kimemteua Rais Yoweri Museveni kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2026. Akizungumza...
Idara ya Usalama mjini Mombasa imetoa taarifa kujibu ombi la wanaharakati wanaotaka kuandaa maandamano ya kuadhimisha siku ya SABA SABA mjini Mombasa. Katika barua iliyotiwa Saini...
Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya kukabiliana na mihadarati na vileo haramu nchini NACADA tawi la kaunti ya Taita Taveta Anthony Kiseu ametoa wito kwa asasi...