Kenya inaadhimisha miaka 15 ya Katiba mpya tangu kubuniwa rasmi mwaka wa 2010 chini ya utawala wa Hayati Mwai Kibaki kufuatia shinikizo la miaka mingi ya...
Zaidi ya Wawakilishi wadi 70 wa kaunti ya Nairobi walitia saini hoja ya kutokuwa na Imani na Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja, ambayo inalenga...
Mwakilishi wadi ya Malindi mjini Rashid Odhiambo amekiri kuwepo kwa mvurugiko mkubwa ndani ya chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi. Akizungumza katika kipindi cha Coco...
Viongozi wa kijamii katika kaunti ya Kilifi wameeleza kuwa watoto wengi wanakosa kupata chanjo kufuatia dhana potovu zinazoenezwa miongoni mwa wanajamii. Wakiongozwa na Mumina Halaso, viongozi...
Uchaguzi wa viongozi wa mashinani wa Chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi ulifanyika Agosti 25, 2025 licha ya awali kuhushudiwa vurugu baada ya kutofautiana kwa...
Serikali imetangaza kwamba Fedha za usimamizi wa shughuli za masomo katika shule za umma kote nchini zitasambazwa kabla ya wiki hii kukamilika ili kuwawezesha wanafunzi kuendelea...
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Mombasa wakiongozwa na mbunge wa Changamwe Omar Mwinyi wamewakosa wananchi pamoja na viongozi dhidi ya kuendeleza siasa za migawanyiko, taifa...
Rais William Ruto ametangaza kwamba Agosti 27, itakuwa siku ya kitaifa ya Katiba Dei ambayo itakuwa ikiadhimishwa kila mwaka. Tangazo hilo ambalo lilichapishwa katika gazeti rasmi...
Viongozi wa makanisa wanamtaka rais William Ruto kutimiza vitisho vyake na kuwachukulia hatua wabunge anaodai wanahusika na visa vya ufisadi nchini. Baraza la makanisa nchini NCCK...
Maafisa wa upelelezi wa makosa ya jinai DCI, katika eneo bunge la Kisauni kaunti ya Mombasa wanasema wamewatia mbaroni washukiwa wawili wa uhalifu wa wizi wa...