Idara ya usalama eneo la Pwani imeonya viongozi na wanasiasa dhidi ya kuzua semi za uchochezi ambazo huenda zikachangia vurugu eneo hilo. Kamishna wa jimbo la...
Mahakama Kuu nchini imetoa mwelekeo kuhusu kuapishwa kwa mwenyekiti mpya na makamishna wa tume ya uchaguzi na mipaka IEBC. Haya yanajiri baada ya majaji watatu siku...
Miaka michache iliyopita serikali kuu ilipiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki katika juhudi za kuthibiti uchafuzi wa Mazingira. Sheria hiyo iliyoanza kutumika mwezi Agosti 28...
Mkurugenzi wa mashtaka ya umma, Renson Ingonga, ameidhinisha mashtaka ya mauaji dhidi ya afisa wa polisi Barasa Masinde. Masinde anadaiwa kuhusika moja kwa moja na mauaji...
Tume ya jinsia na usawa NGEC inasisitiza umuhimu wa kuwashirikisha wanaume ili kudhibiti visa vya dhuluma za kijinsia nchini. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mkakati...
Shirika la umoja wa mataifa la kupambana na virusi vya UKIMWI, UNAIDS, limesema huenda kukawa na maambukizi mapya ya virusi vya ukimwi milioni 6 na vifo...
Karani wa bunge la kaunti ya Kilifi Emmanuel Ngala ameagiza kuondolewa kwa walinzi wanaolinda makaazi ya Spika wa bunge la kaunti hiyo Teddy Mwambire. Kulingana na...
Siasa za majibizino kuhusu mtizamo wa vijana wa kizazi cha Gen Z na mabadiliko ya kiuongozi nchini zimeanza kushamiri huku rais William Ruto akionekana kuchukizwa na...
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua amekanusha madai kwamba mrengo wa upinzani unapanga kumuondoa rais William Samoei Ruto madarakani. Katika taarifa yake ya siku ya Jumatano...
Tume ya kutetea haki za binadam nchini KNCHR imetoa takwimu zikionyesha watu 31 wamefariki huku wengine 107 wakijeruhiwa kufikia sasa kufuatia maandamano ya siku ya Saba...