Kaunti ya Lamu inaendelea kushuhudia changamoto ya nguvu za umeme ambayo inaendelea kuathiri utoaji wa huduma katika idara mbali mbali katika kaunti hiyo. Gavana wa kaunti...
Maafisa wa polisi katika kituo cha polisi cha Inuka eneo bunge la Likoni kaunti ya Mombasa wanamzuilia mwanamume mmoja baada ya kumkamata akiwa na misokoto 284...
Muungano wa wauguzi katika kaunti ya Lamu ukiongozwa na Erick Otieno umekosoa kitendo cha maafisa wa polisi cha kuwatupia vitoa machozi walipoandamana kuelekea makao makuu ya...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande kwa mwanaume mmoja aliyekabiliwa na mashtaka ya ulawiti wa mtoto wa umri wa miaka 9. Akitoa agizo hilo Hakimu wa...
Kenya ni miongoni mwa mataifa manne barani afrika yaliyotajwa kuwa katika hatari ya kukosa chakula maalum cha kuokoa maisha ya watoto wenye utapiamlo katika kipindi cha...
Mahakama imesitisha ujenzi wowote wa kanisa la kudumu au hata maeneo ya ibada unaoweza kuendeshwa katika ikulu ya rais kwa sasa. Mahakama pia ilisitisha ujenzi wa...
Waziri wa fedha nchini John Mbadi amepuuzilia mbali uamuzi wa bunge la kitaifa wa kusitisha agizo lake la kuwataka maafisa wote wa serikali kuu na kaunti...
Hali ya wasiwasi na ghasia zilishuhudiwa katika eneo la Kwa Mwango karibu na Mkoroshoni mjini Kilifi Agosti 28, 2025. Hii ni baada ya wakaazi wenye hasira...
Shughuli ya kufukuaji wa maiti katika vichaka vya Kwa Binzaro eneo la Shakahola kaunti ndogo ya Magarini inaingia wiki ya pili huku miili 7 zaidi ikifukuliwa...
Tume ya uchaguzi nchini Tanzania, INEC imemuidhinisha rasmi Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania, na mgombea mwenza Emmanuel Nchimbi kuwa wagombea wa Urais kwa chama cha...