Serikali imejitokeza na kupinga taarifa zinazoendelea katika mitandao ya kijamii kwamba inalenga kuwasilisha mswada wa fedha wa mwaka wa 2025 bungeni ambao unalenga kuongeza ushuru kwa...
Kumeshuhudiwa vuta ni kuvute katika Ofisi za Katibu wa kaunti ya Kilifi baada ya aliyekuwa Katibu wa kaunti Martin Mwaro kupata agizo la Mahakama la kurejea...
Daktari mkuu anayesimamia kitengo cha masuala yanayohusu kifua katika hospitali kuu ya Malindi kaunti ya Kilifi Anderson Ngala amewahimiza wakaazi kufika hospitalini iwapo watahisi maumivu kifuani....
Maafisa wa uokozi wanaendelea na juhudi za kusaka miili ya vijana watatu ambao ni wanafunzi kutoka eneo la Hongwe Mpeketoni waliozama baharini siku ya Jumapili jioni...
Serikali imeanzisha mpango wa kubuni sera itakayotambua na kuthamini wadhfa wa wazee wa mitaa na wale wa nyumba kumi ili kuimarisha usalama hadi mashinani. Katika makadirio...
Waumini wa madhehebu mbalimbali ya kikristu wamemiminika makanisani kuadhimisha Jumapili ya matawi, juma moja kabla ya maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka. Waumini wa madhehebu ya Anglikana,...
Mbunge wa Malindi Amina Mnyazi amesema idara ya usalama katika eneo bunge hilo inakumbwa na uhaba wa miundo msingi na ukosefu wa vifaa hitajika. Mnyazi amehoji...
Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire amezitaka Mahakama zinazoshuhulikia mizozo ya Ardhi na Mazingira nchini kufanya uchunguzi wa kina wa kesi za mizozo...
Katibu katika Wizara ya Leba nchini Shadrack Mwadime amewataka vijana ambao wana ujuzi mbalimbali lakini hawana stakabadhi kujisajili na Mamlaka ya kitaifa ya mafunzo ya viwanda...
Kutokana na kushuhudiwa kwa mizozo ya ardhi ya mara kwa mara katika eneo la Pwani, sasa Wizara ya Usalama wa ndani imewaonya maafisa wa idara ya...