Bunge la kitaifa linashiriki maonyesho ya kilimo ya kimataifa ya Mombasa kwa mara ya kwanza katika historia yake, ambayo yanaanza rasmi Jumatano Septemba 3, 2025 katika...
Mchakato wa kumbandua mamlakani Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja pamoja na Naibu wake James Muchiri umekosa kuendelea baada ya Kinara wa Chama cha ODM...
Wazazi katika shule ya msingi ya Tangai eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wanaiomba serikali pamoja na wahisani kubuni mikakati ya kuboresha miundomsingi ya taasisi...
Mahakama ya Kilifi iliagiza mshukiwa wa kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya kuzuiliwa rumande. Hii ni baada ya mshukiwa wa kesi hiyo Hamisi Kazungu Ali...
Mashirika mbalimbali ya kijamii kaunti ya Kilifi yanayojihusisha na masuala ya uchumi wa bahari yamejitokeza na kuhamasisha jamii kuhusu athari za mabadiliko ya hali ya anga....
Mwakilishi wa wadi ya Junda kaunti ya Mombasa Sylvester Kai amewakosa mawaziri katika serikali ya kaunti hiyo kwa madai ya kuhujumu maendeleo mashinani. Kai alidai kwamba...
Huduma ya kitaifa ya polisi nchini NPS imethibitisha kufariki kwa maafisa mmoja wa polisi anayehudumu katika kitengo cha kudhibiti amani na usalama nchini Haiti MSS. Katika...
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amekosoa serikali kwa kusalia kimya kuhusiana na madai ya uwepo wa jeshi la Jubaland hapa nchini. Naibu huyo wa...
Jamii ya wapokomo wanaoishi kaunti ya Mombasa wamelalamikia kutengwa na serikali ya kaunti hiyo kwa kile wanachodai kuwa ni ubaguzi wa kikabila. Wakiongozwa na mwenyekiti wao,...
Waziri wa utumishi wa Umma nchini Geoffrey Ruku anasema serikali inaangazia kuwianisha mishahara ya watumishi wa umma na kukumbatia mageuzi ya kidijitali, ikiwa ni pamoja na...