Waumini wa Kanisa Katoliki kote ulimwenguni wamejitokeza kuadhimisha ibada ya njia ya msalaba, wakiashiria ukumbusho wa mateso ambayo Yesu Kristu alipitia kabla ya kufa na kufufuka...
Kamanda wa polisi kaunti ya Kwale Reginald Omaria amewaonya wakaazi dhidi ya kuranda randa ovyo katika fuo za bahari hindi katika masaa yasiokubalika na kwamba atakayepatikana...
Rais William Ruto ameshuhudia kuapishwa kwa mawaziri wawili wapya pamoja na makatibu katika Wizara mbalimbali nchini katika halfa iliyoandaliwa katika Ikulu ya Nairobi. Wakati wa halfa...
Mbunge wa Kilifi kusini Ken Chonga ameikemea Idara ya Polisi kwa kukiuka sheria na kushirikiana na mabwenyenye kuwahangaisha wakaazi kwenye ardhi zao. Chonga amekariri kwamba kutokana...
Wahudumu wa sekta ya uchukuzi mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wanashinikiza serikali kuu na ile ya kaunti kuzingatia ukarabati wa barabara ya Kibaoni-Ganze hadi Bamba licha...
Idara ya utabiri wa hali ya hewa nchini imetoa tahadhari kwa wakenya kuhusu mvua kubwa itakayonyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi kwa kipindi cha siku saba. Mkurugenzi wa idara ya...
Kikao cha kutafuta mwafaka kuhusu mzozo uliyoshuhudiwa kati ya wakaazi wa eneo la Jaribuni kaunti ya Kilifi na wawekezaji wa timbo za eneo hilo uliyosababisha kufungwa...
Aliyekuwa Naibu rais Rigathi Gachagua amesema maisha yake yako hatarini kutokana na msimamo wake wa kisiasa nchini. Katika barau aliyomuandikia Inspekta jenerali wa polisi nchini Douglas...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande washukiwa wawili wa kesi ya ubakaji wa msichana wa umri wa miaka 16, kaunti ya Kilifi. Hakimu wa Mahakama hiyo...
Shirika la kutathmini ubora wa bidhaa nchini KEBS limesema wakenya wengi wamekuwa wakinunua bidhaa ghushi ambazo hazijathibitishwa na Shirika hilo kutokana na ukosefu wa ufahamu kuhusu...