Mungano wa Wazee wa Kaya za Mijikenda umeelezea kusikitishwa na hatua ya serikali ya kaunti ya Kilifi ya kupanga kuandaa tamasha za tamaduni za jamii ya...
Muungano wa mashirika ya kukabilina na athari za mabadiliko ya tabia nchi chini ya mpango wa WISER KENYA umetaja kaunti za Tanariver na Garissa kama zinazoathirika...
Mbunge wa Wundanyi Danson Mwashako alielezea kukerwa na madai ya ufisadi yanayoendelea kushughudiwa humu nchini hasa kwenye Bima ya afya ya jamii nchini SHA. Mwashako alisema...
Jumla ya wachungaji 85 kutoka wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya kilifi wanaendelea kupokea mafunzo ya kidini kuhusu sheria zinazoambatana na utoaji wa...
Afisa anayesimamia gereza la Shimo la Tewa, Abdi Willy Adan amekanusha madai yalioibuliwa na mhubiri tata Paul Mackenzie kwamba maisha yake yako hatarini akiwa katika gerezani...
Jamii ya wadigo katika kaunti ya Kwale imejitokeza na kuikosoa serikali dhidi ya kauli yake kwamba kuna tetesi za kuzuka kwa vuguvugu la Mombasa Repubilican Council...
Mwakilishi wa wadi ya Mbololo kaunti ya Taita taveta Lawrence Mzugha ametoa wito kwa vijana katika eneo hilo kuzingatia elimu. Kulingana na Mzugha kuna nafasi nyingi...
Wakaazi wa Magarini kaunti ya Kilifi wanalalamikia kukithiri kwa changamoto ya uhaba wa maji inayoendelea kushughudiwa katika eneo hilo. Wakiongozwa na Joseph Kithi, wakaazi hao walielezea...
Mashirika ya kutetea haki za binadamu eneo la pwani yameeleza wasi wasi wao kuhusu madai ya kuibuka kwa mbinu mpya ya mauaji ya wazee katika kaunti...
Serikali inasema itawalipia wakenya milioni 1.5 matozo ya bima ya afya – SHA kuanzia wiki ijayo. Haya ni kwa mujibu wa rais William Ruto ambaye alisema...