Ni afuani kwa zaidi ya wafanyikazi 1,300 wakiwemo Wanahabari kutoka Kenya wa kituo cha habari za kimataifa cha Sauti ya Amerika VOA baada ya Mahahama kubatilisha...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos ametangaza kwamba Somo la Hisabati litakuwa la lazima katika shule za upili na kubatilisha tamko la awali la serikali la...
Maafisa wa Idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI wanachunguza kisa kimoja ambapo afisa wa polisi katika kitengo cha msafara wa rais ameanguka na kufariki alipokuwa...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema serikali imeweka mikakati muafaka ya kuhakikisha fedha za kusimamia shughuli za masomo zinasambazwa kwa wakati unaofaa shuleni. Waziri Migos...
Maelfu ya Waumini wa Kanisa katoliki kote ulimwenguni wamepata fursa ya kupeyana heshima yao ya mwisho kwa mwendazake Papa Francis katika Kanisa Katoliki la St. Peters...
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET kimekosoa wanasiasa kwa kuingilia masuala ya walimu nchini hasa kupandishwa vyeo kwa walimu....
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amebainisha kwamba hospitali kuu ya rufaa ya Kilifi inaidai bima ya afya ya jamii nchini SHA jumla ya shilingi...
Mwanamke mmoja amethibitishwa kufariki huku watu wengine sita wakijeruhiwa vibaya baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani katika eneo la Matairini kwenye barabara kuu ya Kwale...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande mwanaume mmoja anayekabiliwa na kesi 8 za uvamizi. Hakimu mkuu wa Mahakama hiyo Ivy Wasike ameagiza mshukiwa huyo kuzuiliwa hadi...
Uongozi wa Kanisa Katoliki mjini Vatican umetangaza kwamba Papa Francis atazikwa siku ya Jumamosi Aprili 26 katika Kanisa kuu la mtakatifu Bikiri Maria mkuu kuanzia mwendo...