Beki wa taifa la Uingereza Alexander Trent Arnold ametangaza kugura kilabu ya Liverpool baada ya msimu huu kukamilika. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ametangaza...
Mwanamume mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Kilifi kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanamke kwa kisingizio cha uchawi. Mahakama imearifiwa kwamba mnamo tarehe 6 mwezi Disemba...
Seneta wa kaunti ya Siaya, Oburu Oginga amejitokeza na kutetea ushirikiano wa utendakazi kati ya Rais William Ruto na Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga,...
Jopo la ushauri la viongozi na maimamu wa Takaungu wadi ya Mnarani kaunti ya Kilifi limeeleza kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Aisha Jumwa kuhusiana na tukio...
Wizara ya Kawi nchini imefanya kikao cha mazungumzo na uongozi wa kaunti ya Kilifi, pamoja na wabunge na Wasimamizi wa Shirika la NUPEA kuhusu uekezaji wa...
Jopo la ushauri na maimamu katika eneo la Takaungu wadi ya mnarani kaunti ya Kilifi limepinga madai yalioibuliwa na wanafamilia wa kijana aliyeuawa baada ya kumuua na...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu na vijana wa Gen – Z katika kaunti ya Mombasa wemezuiwa kuingia katika bunge la kaunti ya Mombasa kuwasilisha malalamishi...
Miamba wa Uingereza kilabu ya manchester united imeweka guu moja fainali ya UEFA Europa Ligi baada ya ushindi wao mnono wa magoli 3-0 dhidi ya Athletic...
Timu ya soka vijana wasiozidi umri wa miaka 20 Rising stars wameanza vibaya kampeini ya Afcon kwa kupoteza pembamba magoli 3-2 dhidi ya Morocco mechi ya...
Wakaazi katika kijii cha Nyari eneo la Sokoke gatuzi dogo la Ganze kaunti ya Kilifi, wanakosoa mpango wa mwekezaji mmoja anayetaka kuchimba madini sehemu hiyo, wakidai...