Maelfu ya Waumini wa Kanisa katoliki kote ulimwenguni wamepata fursa ya kupeyana heshima yao ya mwisho kwa mwendazake Papa Francis katika Kanisa Katoliki la St. Peters...
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET kimekosoa wanasiasa kwa kuingilia masuala ya walimu nchini hasa kupandishwa vyeo kwa walimu....
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amebainisha kwamba hospitali kuu ya rufaa ya Kilifi inaidai bima ya afya ya jamii nchini SHA jumla ya shilingi...
Mwanamke mmoja amethibitishwa kufariki huku watu wengine sita wakijeruhiwa vibaya baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani katika eneo la Matairini kwenye barabara kuu ya Kwale...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande mwanaume mmoja anayekabiliwa na kesi 8 za uvamizi. Hakimu mkuu wa Mahakama hiyo Ivy Wasike ameagiza mshukiwa huyo kuzuiliwa hadi...
Uongozi wa Kanisa Katoliki mjini Vatican umetangaza kwamba Papa Francis atazikwa siku ya Jumamosi Aprili 26 katika Kanisa kuu la mtakatifu Bikiri Maria mkuu kuanzia mwendo...
Gavana wa Lamu Issah Timamy amewataka wakaazi wa kaunti ya Lamu kuzilinda raslimali zilizoko kwenye kaunti hiyo. Akizungumza katika eneo la Mbwajumwali Gavana Timamy amesema kumekuwa...
Kijana wa umri wa miaka 15 ameripotiwa kujitoa uhai katika kituo cha polisi cha Bamba eneo bunge Ganze kaunti ya Kilifi, alipokuwa akizuiliwa. Kulingana na taarifa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 88. Uongozi wa Kanisa Katoliki umethibitisha kifo chake na kusema kwamba Papa...
Kamanda wa Polisi kanda ya Pwani Ali Nuno amesema usalama umeimarishwa msimu huu wa sherehe za Sikukuu ya Pasaka huku akiwataka wakaazi pamoja na wageni wa...