Serikali imewaonya watu wanaomiliki mashamba ya shule sawa na wenye nia ya kunyakua ardhi za taasisi za elimu kwamba watakabiliwa kisheria. Waziri wa elimu Julius Migos...
Mbunge wa zamani wa eneo bunge la Rongo Dalmas Otieno ameaga dunia. Kiongozi huyo shupavu na mweledi katika uzungumzaji, ameaga dunia Septemba 7, 2025 nyumbani kwake...
Baraza la vyombo vya habari nchini MCK limeeleza kusikitishwa na hatua ya baadhi ya vyombo vya habari nchini kumwingilia rais wa chama cha mawakili LSK Faith...
Mbunge Kiharu Ndindi Nyoro amekosoa hatua ya serikali kutegemea mikopo inayozidi kuongezeka, kwa kutumia hazina za kitaifa kama dhamana kwa mipoko. Nyoro alitaja hatua hiyo kama...
Kamati ya Bunge la kitaifa kuhusu uchumi wa bahari imewataka viongozi wa pwani kuhakikisha fedha zinzotolewa na serikali kuu pamoja na mashirika mengine kwa ajili ya...
Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen ameonya kuhusu kuongezeka kwa magenge ya wahalifu nchini. Akizungumza katika kongamano la Jukwaa la Usalama kaunti ya Vihiga, Waziri Murkomen alitoa...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imeripoti kupungua kwa visa vya mauaji ya wazee, hatua inayotajwa kuwa mafanikio makubwa katika juhudi za kukomesha uhalifu huo unaochochewa...
Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, Erastus Ethekon, amesisitiza umuhimu wa usalama katika maandalizi ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2027. Akizungumza...
Mahakama ya Kilifi imetoa hukumu kwa wanaume 6 wanaokabiliwa na mashtaka ya unajisi. Hakimu wa Mahakama hiyo Ivy Wasike alimhukumu Lucky Munga na Hassan Daniel kifungo...
Naibu gavana wa kaunti ya Mombasa Francis Thoya ametoa changamoto kwa serikali kuu kuongeza mgao wa fedha ili kufanikisha utaoji wa huduma za afya. Akizungumza katika...