Mahakama ya ardhi na mazingira katika kaunti ya Mombasa imeahirisha uamuzi wa kesi dhidi ya kampuni ya Mayport Limited inayohusishwa na mfanyabishara maarufu Mohamed Jaffar. Mlalamishi...
Idara ya mazingira katika kaunti ya Kilifi imeanzisha mchakato wa kuvifunga vilabu na maeneo ya burudani mjini Malindi ambayo yamekuwa na tabia ya kuchezesha mziki wa...
Wakaazi wa maeneo ya Mashamba na Msabaha wadi ya Ganda katika kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kaunti kupitia idara ya barabara kuifanyia ukarabati barabara ya...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, limesema zoezi la kuwahoji na kuwapiga msasa wakenya waliotuma maombi ya...
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika, AUC, kutoka Kenya, Raila Odinga, amevunja kimya chake na kuzungumzia uchanguzi wa nafasi hiyo...
Baraza la vyombo vya habari nchini MCK limewataka Wanahabari kuzingatia maadili ya taaluma yao wakati wa kuripoti taarifa mbalimbali nchini ikiwemo maswala la uchumi wa bahari....
Viongozi mbalimbali nchini watuma rasila zao za rambirambi kwa familia ya mwendazake Seneta wa Baringo William Cheptumo, aliyeaga dunia baada ya kuugua kwa mda mfupi katika...
Ili kuhakikisha wakaazi wa kaunti za Pwani wanafahamu kinachojadiliwa na kupitishwa katika mabunge ya kaunti ni vyema iwapo mabunge hayo yatawekeza mbinu za kisasa za kiteknolojia...
Mgombea wa wadhifa ya uwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika AUC, Mahmoud Ali Youssouf kutoka Djibouti, sasa ndiye Mwenyekiti mpya wa Tume hiyo baada ya...