Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini UASU umetoa matakaa ya siku 7 kwa serikali kutimiza matakwa yao la sivyo watishiriki mgomo wa kitaifa. Wahadhiri hao...
Msaidizi wa Kamishna wa kaunti ya Kilifi eneo la Kilifi Kusini, Francis Macharia amesema ukosefu wa elimu umechangia kwa wanajamii wengi kaunti ya Kilifi kutapeliwa katika...
Mwakilishi wa wadi ya Kasighau kaunti ya Taita Taveta Amos Makalo ametoa wito kwa serikali kuu kuendeleza mpango wa ugavi wa chakula cha msaada katika eneo...
Serikali ya Kaunti ya Mombasa kwa ushirikiano na shirika la Christian Blind Mission (CBM) imeanzisha rasmi mpango mpya wa kuboresha afya ya macho kwa wakaazi wa...
Baadhi ya viongozi wa jamii ya mijikenda eneo la pwani wamekosoa mpangilio wa sherehe za kitamaduni za jamii ya kimijikenda maarufu chenda chenda zilizofanyika jana Kaunti...
Spika wa bunge la seneti Amason Kingi ameagiza asasi za usalama kufanya uchunguzi wa haraka kufuatia kifo cha wakili mmoja jijini Nairobi Mathew Kyalo Mbobu. Kingi...
Tume ya kitaifa ya huduma za polisi (NPSC) imehakikishia wakenya kwamba zoezi lijalo la kuwaajiri maafisa wa polisi litakuwa wazi, shirikishi, na lisilo na utovu wa...
Ni dhahiri sasa kutakuwa maaadhimisho ya Chenda Chenda siku ya Jumanne Septemba 9, 2025 kwa wakati mmoja katika kaunti ya Kwale na kaunti ya Kilifi. Waasisi...
Jopo lililoundwa na Rais William Ruto kushughulikia masuala ya fidia ya waathiriwa wa ukatili wa polisi wakati wa maadamano limeanza kikao cha wiki moja huku mjadala...
Kanisa la Kianglikana nchini limejitokeza na kukemea kukithiri kwa sakata za ufisadi nchini katika Wizara mbalimbali likisema tabia hiyo inashusha hadhi ya taifa la Kenya. Kanisa...