Rais William Ruto amesema wanaendeleza mikakati thabiti katika kuhakikisha kuna miradi mingi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kaunti ya Kilifi na kanda ya Pwani kwa jumla. Rais...
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Taita Taveta sasa wanashinikiza wakaazi wa kaunti hiyo kuunga mkono serikali ya Kenya Kwanza wakisema inaendeleza mikakati kuhakikisha...
Serikali imeagiza vituo vyote vya habari vya runinga za kitaifa na radio kusitisha mara moja matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali...
Wakenya wa tabaka mbalimbali wamejitokeza katikati mwa miji mkuu nchini Kenya ikiwemo Nairobi, Mombasa, Nakuru, miongoni mwa miji mingine kuadhimisha makumbusho ya Juni 25. Maandamano hayo...
Wadau wa kupambana na dhulma za kijinsia mjini Malindi kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuifanyia marekebisho sheria ya adhabu na dhamana inayopewa washukiwa wa...
Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Iran yameanza kutekelezwa huku nchi hizo mbili zikithibitisha tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu hatua hiyo....
Mama wa Taifa Rachel Ruto amesema serikali kuu inaendeleza mikakati thabiti kuhakikisha kila mmoja hapa nchini anawezeshwa vilivyo wakiwemo wajane ili waweze kujiendeleza kimaisha. Mama wa...
Rais William Ruto ameahidi kuwaunga mkono maafisa wa polisi katika kutekeleza majukumu yao ya kulinda haki za kila mwananchi. Rais Ruto alisisitiza haja ya kulinda pia...
Kaunti ya Kilifi imetajwa kuripoti visa vingi vya wasichana na wanawake kudhulumiwa kingono. Haya ni kwa mujibu wa shirika la utetezi wa haki za kibinadamu la...
Wajane katika kaunti ya Kilifi wamehimiza kuangaziwa kwa madhila wanayopitia katika jamii ili kuwawezesha kukidhi mahitaji yao kikamilifu. Wajane hao walitoa wito kwa serikali kuwatambua badala...