Afisa mkuu wa Polisi eneo la Matuga kaunti ya Kwale William Cheruiyot Koros ameaga dunia. Idara ya usalama katika kaunti ya Kwale imethibitisha kutokea kwa kifo...
Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu katika eneo bunge la Malindi na Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kitaifa kuongeza muda wa kuvifanyia vipimo vinasaba...
Msanii maarufu wa Uganda, Jose Chameleone, amekanusha vikali uvumi unaodai kuwa amefungwa gerezani, akibainisha kuwa yuko hospitalini kwa ajili ya upasuaji muhimu. Haya yanajiri baada ya...
Watu wawili wanaoshukuwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Alshabab wametiwa nguvuni na maafisa wa kupambana na magaidi nchini ATPU katika kaunti ya Mandera. Kulingana...
Jaji mkuu nchini Martha Koome ameelezea kutamaushwa na ufisadi ambao bado umekithiri katika idara mbalimbali za umma, akisema ufisadi humu nchini umekuwa tatizo la kitaifa ambalo...
Mahakama ya ardhi na mazingira katika kaunti ya Mombasa imeahirisha uamuzi wa kesi dhidi ya kampuni ya Mayport Limited inayohusishwa na mfanyabishara maarufu Mohamed Jaffar. Mlalamishi...
Idara ya mazingira katika kaunti ya Kilifi imeanzisha mchakato wa kuvifunga vilabu na maeneo ya burudani mjini Malindi ambayo yamekuwa na tabia ya kuchezesha mziki wa...
Wakaazi wa maeneo ya Mashamba na Msabaha wadi ya Ganda katika kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali ya kaunti kupitia idara ya barabara kuifanyia ukarabati barabara ya...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, limesema zoezi la kuwahoji na kuwapiga msasa wakenya waliotuma maombi ya...
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika, AUC, kutoka Kenya, Raila Odinga, amevunja kimya chake na kuzungumzia uchanguzi wa nafasi hiyo...