Inspekta jenerali wa polisi nchini Douglas Kanja, amewataka maafisa wa usalama nchini kutekeleza majukumu yao kikamilifu kwa kuzingatia sheria za nchi. Kanja amesema ni sharti maafisa...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amewaonya madaktari na wahudumu wengine wa afya katika kaunti hiyo wenye hulka ya kuiba madawa hospitalini, akisema kwamba watakaopatikana...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, linatarajiwa kuanza zoezi la kuwapigwa msasa wakenya waliotuma maombi ya kujaza...
Wakaazi wa mtaa wa Owino Uhuru katika eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa, walioathirika na sumu ya madini ya kemikali ya Lead wanalalamikia kucheleweshwa kwa...
Baadhi ya maeneo katika eneo bunge la Samburu, Kinango na Lungalunga kaunti ya Kwale huenda yakaathirika zaidi na ukame kutokana na kiangazi kikali kinachoendelea kushuhudiwa. Kulingana...
Wanaharakati wa kijamii katika kaunti ya Kilifi wameishinikiza serikali ya kitaifa kukamilisha mradi wa ujenzi wa daraja la Baricho katika gatuzi dogo la Magarini ili kuboresha...
Mahakama ya Shanzu mjini Mombasa imemtaka Mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma nchini ODPP Renson Ingonga kuwasilisha mashtaka sahihi dhidi ya wakurugenzi wakuu wawili wa chuo...
Kesi ya wizi wa ardhi inayomuhusisha Wakili Joseph Munyithia na mfanyabiashara Farid Salim Almaary imechukua mkondo mpya. Hii ni baada ya mwanasheria huyo kuandikisha taarifa katika...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imehimizwa kuboresha vyuo vya kiufundi vya TVET ili kuviwezesha kutoa mafunzo ya hadhi ya juu kwa wanafunzi. Kulingana na Kiongozi wa...
Viongozi wa Chama cha ODM wamewakashfu baadhi ya wakenya wanaosherehekea kushindwa kwa aliyekuwa mgombea wa Kenya katika wadhfa wa uwenyekiti wa Tume ya umoja wa Afrika...