Mahakama kuu mjini Malindi kaunti ya Kilifi imeahirisha kwa mara ya mwisho uamuzi wa kesi ya madai ya ulaghai wa fedha unaodaiwa kutekelezwa na Kenneth Njoroge...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC limetangaza kuanza zoezi la kuwapigwa msasa watu 11 ambao walituma maombi ya...
MAHAKAMANI – Gavana wa Meru Kawira Mwangaza amepata pigo baada ya Mahakama kuu kuidhinisha uamuzi wa bunge la Seneti la kumtimua Mamlakani. Uamuzi huo imejiri baada...
Katibu katika Wizara ya usalama wa ndani Dkt Raymond Omollo amesema baadhi ya miili waliofukuliwa katika makaburi ya halaiki kwenye msitu wa Shakahola kaunti ya Kilifi...
Inspekta jenerali wa polisi nchini Douglas Kanja, amewataka maafisa wa usalama nchini kutekeleza majukumu yao kikamilifu kwa kuzingatia sheria za nchi. Kanja amesema ni sharti maafisa...
Jopo la uteuzi wa Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, linatarajiwa kuanza zoezi la kuwapigwa msasa wakenya waliotuma maombi ya kujaza...
Wakaazi wa mtaa wa Owino Uhuru katika eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa, walioathirika na sumu ya madini ya kemikali ya Lead wanalalamikia kucheleweshwa kwa...
Baadhi ya maeneo katika eneo bunge la Samburu, Kinango na Lungalunga kaunti ya Kwale huenda yakaathirika zaidi na ukame kutokana na kiangazi kikali kinachoendelea kushuhudiwa. Kulingana...
Wanaharakati wa kijamii katika kaunti ya Kilifi wameishinikiza serikali ya kitaifa kukamilisha mradi wa ujenzi wa daraja la Baricho katika gatuzi dogo la Magarini ili kuboresha...
Mahakama ya Shanzu mjini Mombasa imemtaka Mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma nchini ODPP Renson Ingonga kuwasilisha mashtaka sahihi dhidi ya wakurugenzi wakuu wawili wa chuo...