Msanii maarufu wa Kenya, Arrow Bwoy, amezua gumzo mtandaoni baada ya kumualika wazi wazi mfanyabiashara kutoka Uganda, Shakib Cham, kwenye pambano la ndondi. Hii imekuja baada...
Mashindano ya CHAN 2024 yakielekea ukingoni, mashabiki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka kwa baadhi ya nyota wakubwa wa muziki Afrika Mashariki. Kenya, Uganda na...
Msanii nguli kutoka Tanzania, Zuchu, anatarajiwa kutumbuiza kwenye mechi ya Fainali ya CHAN 2024 Jumamosi, Agosti 30, 2025 jijini Nairobi. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Zuchu...
Kwa zaidi ya miaka 45, Gould David alikuwa uso wa imani ya Kikristo nchini Australia. Akiwa padri wa Kanisa, alihubiri, aliongoza ibada, na akahudumia maelfu ya...
Mchekeshaji aliyegeuka kuwa mwanaharakati, Eric Omondi, amefichua njama ya mwanamke aliyedai kutimuliwa na mumewe ili kuomba msaada wa kifedha kutoka kwa wahisani. Mapema wiki hii, video...
Davido, mmoja wa wanamuziki wakubwa wa Nigeria, ameonesha wazi kwamba furaha na mapenzi kwake hayawekewi kikomo cha fedha. Usiku wa kuamkia leo, msanii huyo alishangaza na kufurahisha...
Msanii wa hip hop kutoka Tanzania anayeishi Marekani, Roma Mkatoliki, amevunja kimya kuhusu kile alichokitaja kuwa dhana potofu inayoambatanishwa na muziki wa hip hop. Kupitia mitandao...