Ili kufanikisha malengo ya taifa ya kupokea watalii milioni tano ifikapo mwaka 2027 serikali imehimizwa kuharakisha utoaji wa leseni kwa ndege na ndege za kukodi. Wadau...
Idadi ya wachuuzi wa njugu mjini Kilifi kaunti ya Kilifi imetajwa kuongezeka msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na Kazungu Kaingu, vijana wengi punde wanapomaliza...
Wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi wamehimizwa kushiriki kikamilifu kwenye maonyesho ya kilimo yatakayofanyika mwezi wa september mwaka 2025 katika uwanja wa maonyesho ya kilimo...
Wakulima wa viazi tamu eneo la rabai kaunti ya kilifi wanakadiria hasara baada ya mimea yao hurabiwa na wadudu. Kulingana na wakulima hao dawa za kuuwa...
Muungano wa wahudumu wa hoteli na wapishi nchini (KAHC) umesema huenda Kenya ikakosa kufikia lengo la watalii millioni 5 ifikapo mwaka 2027 iwapo maandamano yanayoshughudiwa mara...
Ujio wa tekinolojia umetajwa kuathiri biashara ya kuuza radio mjini kilifi kaunti ya kilifi. Kulingana na wafanyibiashara wa kuuza radio mjini kilifi biashara hiyo imedorora pakubwa...
Wahudumu wa bodoboda kutoka eneo la Kibaoni kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara hiyo imedorora baada ya wanafunzi kufunga shule kwa likizo fupi. Kulingana na Robert...
Wakulima wa mahindi humu nchini wanasema kuwa wanatarajia mavuno bora mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana. Kulingana na wakulima hao mvua inayoendelea kunyesha kote nchini inawapa...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wamewataka vijana kuwa makini wakati wa maandamano ili kuepuka uharibifu wa mali. Kulingana na wafanyibiashara hao kumekuwa na uharibifu wa...
Wavuvi kutoka eneo la Old Ferry wanadai kuna baadhi ya wavuvi ambao wanatumia nyavu ambazo zilipigwa marufuku. Kulingana na wavuvi, Nyavu hizo zinavua hadi samaki wadogo...