Biashara ya kuuza matikiti maji mjini malindi kaunti ya kilifi imedorora msimu huu wa mvua ikilinganishwa na wakati wa kiangazi. Kulingana na Edward Hinzano mchuuzi wa...
Vijana eneo bunge la Kaloleni na Kilifi kwa ujumla wamehimizwa kujiunga kwenye mashirika ya akiba na mikopo ili kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogondogo zitakazowasaidia kujikimu...
Baadhi ya wakulima wa mahindi katika eneo la chonyi kaunti ya kilifi wanakadiria hasara kutokana na mvua nyingi ambayo inaendelea kunyesha maeneo mengi nchini. Kulingana na...
Wadau mbalimbali wa kilimo wametoa wito kwa Serikali kuanzisha somo la teknologia ya kilimo kwenye mtaala wa masomo humu nchini ili kuimarisha uzalishaji wa chakula nchini....
Wahudumu wa matatu katika barabara ya kutoka kaloleni Mombasa wanasema Biashara zao zimedorora kutokana na msongamano ambao unashuhudiwa katika eneo la miritini hadi jomvu. Kulingana na...
Wafugaji ng’ombe za maziwa kaunti ya Kilifi wamesema kiwango cha maziwa wanachopata kwa sasa kimeongezeka msimu huu wa mvua ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana ma...
Wafanyibiashara kaunti ya Mombasa wamesema kuwa vurugu ambazo zimekuwa zikishuhudiwa mara kwa mara humu nchini zimesababisha kudorora kwa biashara nyingi humu nchini. Wakiongozwa na Simoni Owa...
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya Kilifi kujenga ukumbi maalum ambapo wakulima wataweza kupeleka mazao yao. Kulingana na mwenyekti wa soko la magarini kaunti ya...
Waziri wa Utalii, Utamaduni na Biashara katika Kaunti ya Mombasa, Mohammad Osman, amesema sekta ya utalii imekuwa ikidorora katika miaka ya hivi karibuni, hali ambayo huenda...
Wafugaji wa kuku katika eneo la Jilore kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kaunti kuwapa mafunzo ya kisasa kuwawezesha kuendeleza ufugaji ili kuepuka hasara ambazo wamekuwa...