Siku moja baada ya mamlaka ya udhibiti wa kawi nchini, EPPRA kutangaza kupandishwa kwa bei ya mafuta, sekta ya uchukuzi katika kaunti ya Kilifi inaelezea hofu...
Takwimu za kibiashara kati ya kenya na ufaransa katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho wa mwaka 2024 zinaonyesha kuwa ufaransa ilileta humu nchini bidhaa za...
Wakulima katika eneo la malindi kaunti ya Kilifi wanaiomba serikali ya kaunti kuajiri madaktari zaidi wa mifugo ili kuboresha sekta ya ufugaji kwani wafugaji wa mashinani...
Sekta ya uchukuzi huenda ikaathirika hata zaidi baada ya mamlaka ya kudhibiti kawi nchini kuongeza bei ya mafuta ya petrol , disel na mafuta ya taa....
Huenda wakenya wakagharamika zaidi katika kumudu gharama ya maisha kutokana na ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Taa mtawalia. Hii ni kutokana na...
Wafanyibiashara mjini kilifi kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara mbalimbali zimedorora kutokana na ongezeko la idadi ya wachuuzi ambao wanachuuza kando kando mwa barabara kila mahali....
Serikali kuu imetenga shilingi bilioni 4.5 kusaidia vyama vya ushirika, akiba na mikopo ili kuimarisha kilimo humu nchini. Akizungumza na vyombo vya habari mkuu wa mawaziri...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kushuka kwa kiwango cha biashara mjini Kilifi baada ya wateja wanaowategemea kuanza likizo. Kulingana na uchunguzi ulifanywa na Coco...
Wito unazidi kutolewa kwa serikali ya kaunti ya kilifi kuhakikisha kuwa soko lililojengwa miaka 15 eneo la Matano mane linafunguliwa ili kuwawezesha kuendeleza biashara zao bila...
Mzee wa mtaa eneo la Mavueni kaunti ya Kilifi Catherine Anzazi amewaonya vijana wadogo dhidi ya kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu. Akizungumza na Coco Fm, Anzazi...