Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) katika sekta ya Kilimo umebainisha kuwa kuna ongezeko la bei ya bidhaa muhimu za chakula,...
Washikadau wa sekta ya kilimo cha mwani katika Kaunti ya Kwale wametoa wito kwa serikali kuu kulitambua rasmi zao hilo kama zao la kibiashara, ili kuwasaidia...
Wafanyikazi wa fuo za bahari katika Kaunti ya Mombasa wamelalamikia athari za mvua zinazoendelea kunyesha, wakisema hali hiyo imepunguza shughuli zao za kila siku na kuathiri...
Wanawake wanaojishughulisha na biashara ndogondogo katika jiji la Mombasa wametakiwa kuungana kupitia vikundi ili kuimarisha masoko ya bidhaa na huduma zao, si tu ndani ya nchi...
Vijana katika Kaunti ya Tana River wameanzisha biashara ya upishi wa sambusa za samaki kwa lengo la kujikwamua kiuchumi kwa kutumia rasilimali za baharini. Wamebuni mbinu...
Wafanyabiashara katika soko la Matano Mane, eneo la Vitengeni, Kaunti ya Kilifi, wameitaka serikali ya kaunti hiyo kuwajengea choo, wakisema ukosefu wa huduma hiyo muhimu umekuwa...
Kilifi, Kenya – Wachuuzi wa viazi vitamu katika barabara ya mjini Kilifi wameripoti kuimarika kwa biashara hiyo ikilinganishwa na vipindi vya nyuma, wakisema hali hiyo imesababishwa...
Washikadau katika sekta ya uchumi wa rasilimali za baharini na maziwa katika ukanda wa Pwani wamesema kuwa Kenya imepiga hatua kubwa katika juhudi za kuimarisha sekta...
Wafanyabiashara katika eneo la Misufini kuelekea Kwa Mwango, mjini Kilifi, wameelezea hofu yao kuhusu hatma ya biashara zao kufuatia tangazo la serikali ya kaunti ya Kilifi...
Wafugaji wa nyuki katika Kaunti ya Lamu wamelalamikia kuporomoka kwa soko la asali halisi, wakilaumu kuongezeka kwa asali ghushi inayojaa sokoni. Kwa mujibu wa wafugaji hao,...