Muungano wa waendeshaji wa tuktuk katika kaunti ya Kwale umetaka serikali ya kaunti hiyo kuwatengea sehemu maalum ya kudumu ya maegesho. Madereva hao walisema kuwa sekta...
Kenya inapolenga kuongeza ushuru unaokusanywa katika sekta ya uchukuzi wa angani, suala la usalama wa ndege zinazosafiri kupitia mataifa yanayoshuhudia ghasia limeibua wasiwasi. Mkurugenzi wa Halmashauri...
Baadhi ya wavuvi kutoka eneo la old ferry kaunti ya kilifi wamegeukia biashara ya kuchoma mahindi machanga kutokana na kutoweza kuingia baharini. Wavuvi hao wamesema kuwa...
Wanawake kutoka maeneo ya Pwani wanaitaka serikali kuu na zile za kaunti kuhakikisha wanashirikishwa kikamilifu katika sekta ya uchumi wa majini ili kujiendeleza kimaisha. Wakiongozwa na...
Wadau wa sekta ya utalii wanaojihusisha na uuzaji vinyago mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kusambaratika kwa biashara zao kufuatia idadi ndogo ya watalii wanaozuru eneo...
Wafanyibiashara wa kuuza maembe katika eneo la mariakani kaunti ya kiliifi wanasema kuwa msimu huu wa mvua biashara iko chini ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana...
Wafugaji kaunti ya Kilifi wameshauriwa kuhifadhi nyasi kwa wingi msimu huu wa mvua ili kuwawezesha kuwa na chakula cha kutosha kwa mifugo wao wakati wa ukame....
Wafanyabiashara wa kuuza mitumba katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia kupungua kwa biashara hiyo hasa musimu huu wa Mvua. Akiongea na mwahabari wetu, Mwenyekiti...
Wachuuzi wa nyanya katika soko la Kwa Charo-Maeo, mjini Kilifi, wamelalamikia athari za mvua zinazoendelea kunyesha, wakisema kuwa hali hiyo inasababisha nyanya nyingi kufika sokoni zikiwa...
Sekta ya uvuvi katika mji wa Malindi kaunti ya Kilifi, inaendelea kukumbwa na changamoto kufuatia upepo mkali unaovuma baharini kwa kipindi cha wiki kadhaa sasa, hali...