Baadhi ya wafanyibiashara mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kupanda kwa gharama ya maisha sawa na ushuru wa biashara wakati mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini, KRA...
Wakulima wanaoendeleza kilimo biashara kutoka rabai kaunti ya kilifi wamegeukia kilimo cha viazi vitamu. Kulingana na wakulima hao msimu huu wa mvua chache viazi vitamu vinafanya...
Serikali za kaunti za pwani zimetakiwa kuwawezesha vijana katika masuala ya ubaharia ili kujiendeleza kiuchumi. Aliyekuwa mbunge wa Kisauni, Ali Mbogo, amesema kuwa ukosefu wa mikakati...
Shughuli za kibiashara katika soko la Tezo kaunti ya kilifi ziliathirika jumatatu ya Julai, 21, 2025 kufuatia mgomo wa wahudumu wa tuktuk. Kulingana na wafanyibiashara katika soko...
Wadau wa sekta ya utalii wadi ya Watamu kaunti ya Kilifi wameripoti kuimarika kwa sekta ya utalii eneo hilo mwaka wa 2025 ikilinganishwa na mwaka uliopita...
Kasisi wa Kanisa Katoliki jimbo la Malindi Misheni ya Mere kaunti ya Kilifi, Blaise Kamau Andrew ametoa wito kwa wenyeji wa Pwani kuwekeza zaidi katika kilimo...
Kanda ya Pwani inatarajiwa kuimarika zaidi kupitia Kilimo cha kisasa kinachotekelezwa kupitia mfumo wa teknolojia. Hii ni kupitia mikakati inayoendelezwa na Agitech Seedlings kuhakikisha Wakulima na...