Wanawake kutoka maeneo ya Pwani wanaitaka serikali kuu na zile za kaunti kuhakikisha wanashirikishwa kikamilifu katika sekta ya uchumi wa majini ili kujiendeleza kimaisha. Wakiongozwa na...
Wadau wa sekta ya utalii wanaojihusisha na uuzaji vinyago mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kusambaratika kwa biashara zao kufuatia idadi ndogo ya watalii wanaozuru eneo...
Wafanyibiashara wa kuuza maembe katika eneo la mariakani kaunti ya kiliifi wanasema kuwa msimu huu wa mvua biashara iko chini ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana...
Wafugaji kaunti ya Kilifi wameshauriwa kuhifadhi nyasi kwa wingi msimu huu wa mvua ili kuwawezesha kuwa na chakula cha kutosha kwa mifugo wao wakati wa ukame....
Wafanyabiashara wa kuuza mitumba katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia kupungua kwa biashara hiyo hasa musimu huu wa Mvua. Akiongea na mwahabari wetu, Mwenyekiti...
Wachuuzi wa nyanya katika soko la Kwa Charo-Maeo, mjini Kilifi, wamelalamikia athari za mvua zinazoendelea kunyesha, wakisema kuwa hali hiyo inasababisha nyanya nyingi kufika sokoni zikiwa...
Sekta ya uvuvi katika mji wa Malindi kaunti ya Kilifi, inaendelea kukumbwa na changamoto kufuatia upepo mkali unaovuma baharini kwa kipindi cha wiki kadhaa sasa, hali...
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) katika sekta ya Kilimo umebainisha kuwa kuna ongezeko la bei ya bidhaa muhimu za chakula,...
Washikadau wa sekta ya kilimo cha mwani katika Kaunti ya Kwale wametoa wito kwa serikali kuu kulitambua rasmi zao hilo kama zao la kibiashara, ili kuwasaidia...
Wafanyikazi wa fuo za bahari katika Kaunti ya Mombasa wamelalamikia athari za mvua zinazoendelea kunyesha, wakisema hali hiyo imepunguza shughuli zao za kila siku na kuathiri...