Chama tawala nchini Uganda, cha National Resistance Movement (NRM), kimemteua Rais Yoweri Museveni kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2026. Akizungumza...
Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya kukabiliana na mihadarati na vileo haramu nchini NACADA tawi la kaunti ya Taita Taveta Anthony Kiseu ametoa wito kwa asasi...
Naibu kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Owen Baya amewashutumu baadhi ya wanaharakati walioelekea mahakamani kupinga kuapishwa kwa makamishna wa tume huru ya uchaguzi na...
Ibada ya mazishi kwa ajili ya mwendazake mwanablogu na mwalimu Albert Ojwang’ aliyeuawa mikononi mwa polisi inafanyika katika shule ya msingi ya Nyawango kaunti ya Homa...
Wakaazi wa mtaa wa mabanda wa Bangladeshi eneo bunge la Jomvu, kaunti ya Mombasa, wanalalamikia uhaba mkubwa wa maji unaoendelea kushuhudiwa kwa zaidi ya mda wa wiki tatu sasa. Wakiongozwa na Betty Achieng’,...
Viongozi wa upinzani wameikosoa serikali kwa kukosa kutekeleza ahadi walizotoa kwa wananchi hasa katika kufufua miradi ya kiuchumi nchini. Wakiungumza katika kaunti ya Kakamega viongozi hao...
Maafisa wa Idara ya utawala wa mkoa katika wadi ya Junju kaunti ya Kilifi imeonya wakaazi wa kijiji cha Mwembetsungu dhidi ya kuendekeza visa vya wizi....
Ripoti ya upasuaji wa maiti ya mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi kwa karibu na maafisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi imebaini kuwa vipande 4...
Mbunge wa Gem Elisha Odhiambo ametangaza mipango ya kumchukulia hatua za kisheria aliyekuwa waziri wa usalama wa ndani Dkt Fred Matiang’i kutokana na madai ya mauaji...
Ofisi ya mke wa Rais Bi Rachel Ruto, imezindua mpango wa lishe bora kupitia utoaji wa maziwa kwa watoto wa shule kama sehemu ya mpango wa...