Wakaazi wa eneo la Kajajini mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamelaumu kampuni ya usambazaji umeme nchini KPL kwa kutozingatia malalamishi yao. Wakaazi hao walisema kwa mda...
Vijana na wanaharakati wa maswala ya vijana kaunti ya Mombasa wanaitaka serikali ya kitaifa kutekeleza maswala ya msingi yanayohusu uongozi na utawala wa sasa. Vijana hao...
Ofisi ya kamishna mkuu wa haki za kibinadamu wa umoja wa mataifa (OHCHR) imeibua wasiwasi kuhusu maandamano ya siku ya Saba Saba nchini Kenya, ambapo makumi...
Tume uchaguzi na mipaka nchini (IEBC) imerejesha tovuti yake ambayo wapigakura huthibitisha taarifa zao za usajili, baada ya kipindi cha ukarabati. Hii ni kufuatia malalamishi ya...
Mahakama kuu ya Malindi imebatilisha uamuzi wa bunge la kaunti ya Kilifi wa kumtimua Mamlakani Spika wa bunge hilo Teddy Mwambire na kuagiza Spika Mwambire kurejea...
Watu wanne wamethibitishwa kuaga dunia wakati wa maandamano ya kuadhimisha miaka 35 ya kumbukumbu za Sabasaba ambapo watu 2 wamepiga risasi na kufariki katika maeneo ya...
Baadhi ya Wanaharakati kaunti ya Mombasa wakiongozwa na Amina Ridhwan wametoa wito kwa serikali kuu kufanya mazungumzo na vijana wa kizazi cha Gen Z ili kusitisha...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema sekta ya afya inatarajiwa kuimarika pakubwa kutokana na mikakati ya kuanzishwa kwa kituo cha kutoa matibabu ya...
Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga amewaalika wakenya kujumuika naye kati kumbukumbu za maandamano ya siku ya Sabasaba katika uwanja wa Kamukunji jijini Nairobi. Odinga...
Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen ameshinikiza amani wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya siku ya Sabasaba ambayo inafanyika Julai 7, 2025. Akizungumza katika kaunti...