Mahakama ya Kilifi iliagiza mshukiwa wa kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya kuzuiliwa rumande. Hii ni baada ya mshukiwa wa kesi hiyo Hamisi Kazungu Ali...
Washirika kutoka mataifa saba duniani wanatarajiwa kushiriki katika maonyesho ya kimataifa ya kilimo ya mwaka 2025 yanayofanyika eneo la Mkomani kaunti ya Mombasa. Mwenyekiti wa maonyesho...
Mashirika mbalimbali ya kijamii kaunti ya Kilifi yanayojihusisha na masuala ya uchumi wa bahari yamejitokeza na kuhamasisha jamii kuhusu athari za mabadiliko ya hali ya anga....
Mwakilishi wa wadi ya Junda kaunti ya Mombasa Sylvester Kai amewakosa mawaziri katika serikali ya kaunti hiyo kwa madai ya kuhujumu maendeleo mashinani. Kai alidai kwamba...
Huduma ya kitaifa ya polisi nchini NPS imethibitisha kufariki kwa maafisa mmoja wa polisi anayehudumu katika kitengo cha kudhibiti amani na usalama nchini Haiti MSS. Katika...
Wafugaji wa Nyuki eneo la Mida kaunti ya Kilifi wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kukumbatia Kilimo cha Nyuki ili kuendeleza uzalishaji wa Asali na...
Wakulima katika mradi wa unyunyizaji maji mashamba katika mradi wa Hola irrigation Scheme Kaunti ya Tanariver wameeleza matumaini ya kupata mazoa bora kufuatia hatua ya serikali...
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua amekosoa serikali kwa kusalia kimya kuhusiana na madai ya uwepo wa jeshi la Jubaland hapa nchini. Naibu huyo wa...
Jamii ya wapokomo wanaoishi kaunti ya Mombasa wamelalamikia kutengwa na serikali ya kaunti hiyo kwa kile wanachodai kuwa ni ubaguzi wa kikabila. Wakiongozwa na mwenyekiti wao,...
Waziri wa utumishi wa Umma nchini Geoffrey Ruku anasema serikali inaangazia kuwianisha mishahara ya watumishi wa umma na kukumbatia mageuzi ya kidijitali, ikiwa ni pamoja na...