Baadhi ya Wavuvi katika kaunti ya Kwale wamelalamikia hatua iliyochukuwa na kamati ya ukusanyaji maoni ya umma kuhusu mswada wa usimamizi na maendeleo ya uvuvi. Wavuvi...
Mwakilishi wa wadi ya Mbololo kaunti ya Taita taveta Lawrence Mzugha ametoa wito kwa vijana katika eneo hilo kuzingatia elimu. Kulingana na Mzugha kuna nafasi nyingi...
Wakaazi wa Magarini kaunti ya Kilifi wanalalamikia kukithiri kwa changamoto ya uhaba wa maji inayoendelea kushughudiwa katika eneo hilo. Wakiongozwa na Joseph Kithi, wakaazi hao walielezea...
Mashirika ya kutetea haki za binadamu eneo la pwani yameeleza wasi wasi wao kuhusu madai ya kuibuka kwa mbinu mpya ya mauaji ya wazee katika kaunti...
Serikali inasema itawalipia wakenya milioni 1.5 matozo ya bima ya afya – SHA kuanzia wiki ijayo. Haya ni kwa mujibu wa rais William Ruto ambaye alisema...
Bunge la kitaifa linashiriki maonyesho ya kilimo ya kimataifa ya Mombasa kwa mara ya kwanza katika historia yake, ambayo yanaanza rasmi Jumatano Septemba 3, 2025 katika...
Halmashauri ya bandari Kenya (KPA) pamoja na serikali ya kaunti ya Siaya zimeahidi kushirikiana kwa karibu kuimarisha miundomsingi ya usafiri na biashara katika ukanda wa Ziwa...
Mchakato wa kumbandua mamlakani Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja pamoja na Naibu wake James Muchiri umekosa kuendelea baada ya Kinara wa Chama cha ODM...
Wazazi katika shule ya msingi ya Tangai eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wanaiomba serikali pamoja na wahisani kubuni mikakati ya kuboresha miundomsingi ya taasisi...
Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu uchumi wa bahari na masuala ya ubaharia imewataka wawekezaji wote waliovamia ardhi zilizotengewa Kauli hii ilijiri baada ya wavuvi na...