Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kaunti ya Mombasa yamepinga mchakato wa mazungumzo ya kitaifa yakisema matatizo yanayowakumba wakenya tayari yanajulikana. Wanaharakati hao wakiongozwa na mkurugenzi...
Chama cha Walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET, kimeionya Tume ya uajiri walimu nchini TSC dhidi ya kuwasilisha pendekezo lipya linalokinzana...
Wadau wa amani katika kaunti ya Kilifi wameishinikiza jamii kuzingatia amani na uwiano. Wakiongozwa na Harold Mwatua ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya amani katika kaunti...
Maafisa wa usalama eneo bunge la Likoni Kaunti ya Mombasa wanamzuiliwa mwaname mmoja kwa tuhuma za wizi wa kimabavu baada ya kuvamia hospitali ya kibinafsi akiwa...
Wateja na wanachama wa shirika la uekezaji na mikopo la Imarika Sacco walijumuika na maafisa na shirika hilo katika maeneo mbali mbali kaunti ya Kilifi kwenye...
Wizara ya afya nchini imesema kufikia sasa watoto milioni 3.3 wamepokezwa chanjo ya surua kati ya watoto milioni 6.5 waliolengwa. Ripoti ya wizara hiyo pia iliongeza...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imethibitisha vifo vya watu wawili kutokana na ugonjwa wa Mpox, huku maambukizi mapya yakiendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo. Msimamizi mkuu...
Wasichana katika ukanda wa Pwani wataendelea kupokea elimu ya kujilinda dhidi ya masuala ya kingono kufuatia mpango wa uhamasishaji, ushauri nasaha na hata michezo. Mpango huo...
Mzee wa mtaa eneo la Mavueni kaunti ya Kilifi Catherine Anzazi amewaonya vijana wadogo dhidi ya kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu. Akizungumza na Coco Fm, Anzazi...
Changamoto imetolewa kwa idara ya usalama, bodi ya kukabiliana na utumizi wa pombe haramu sawa na dawa za kulevya kuwajibika kikamilifu kwa lengo la kukabiliana na...